Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,256
Sikatai foleni ni changamoto na yamkini kwa inasababishwa na uduni wa utoaji wa huduma, lakini twende mbele turudi nyuma, ndipo tulipofikia hapo watz,hili zoezi lilishatangazwa likarefushwa na kurefushwa (watu walikua wanasubiria deadline) .....tunaona raha dk za lala salama ndio kukimbia kimbia na foleni kama hizi.............pamoja na ukweli kwamba zinatengeneza mazingira ya rushwa lakini wakati mwingine ni mambo yanayoweza kuepukika............
......people wait for time but time wait for nobody............