Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
Baada ya Hoja kali kutolewa na wabunge wa vyama vyote bila kuangalia itikadi zao, jioni ya leo mnamo majira ya saa kumi na moja na kuendelea, kamati tatu za mahesabu ya serikali zitafanya hitimisho ya mambo/hoja mbalimbali zilizotolewa na wabunge mbalimbali. Je unaishauri nini kamati zifanye kwenye majumuisho hayo kulingana na hoja zilizotolewa na wabunge????
Binafsi, Nashauri wamshauri Spika, wabunge wapige Vote of no confidence kwa serikali yetu dokozi maana bila kumwonea mtu. Si CCM wala CDM wote wamekiri kuwa Serikali yetu imeshindwa kazi. Na kinachofanyika sasa ni viongozi wa serikali kula na kufuja kodi za wananchi bila ya kuonyesha tija chanya. Tija pekee tunazoziona ni za mawaziri na watendaji wa serikali ni kwenye kuwezesha mikataba mibovu, kushindwa kusimamia majukum yao na kusababishia serikali hasara pamoja na kusimamia kuuzwa kwa raslimali za taifa kwa wezi wale wale.
Kama hili litaonekana haliwezekani, basi watendaji wote waliolisababishia Taifa hasara wa step down kupisha uchunguzi tukianza na Mkullo ambaye ameuza kibabe viwanja viwili kwa wahindi wezi ambao kila siku tunawatolea povu humu. Toa ushauri wako unaweza ukasaidia kuangushwa kwa serikali hii dokozi ya ccm.
Binafsi, Nashauri wamshauri Spika, wabunge wapige Vote of no confidence kwa serikali yetu dokozi maana bila kumwonea mtu. Si CCM wala CDM wote wamekiri kuwa Serikali yetu imeshindwa kazi. Na kinachofanyika sasa ni viongozi wa serikali kula na kufuja kodi za wananchi bila ya kuonyesha tija chanya. Tija pekee tunazoziona ni za mawaziri na watendaji wa serikali ni kwenye kuwezesha mikataba mibovu, kushindwa kusimamia majukum yao na kusababishia serikali hasara pamoja na kusimamia kuuzwa kwa raslimali za taifa kwa wezi wale wale.
Kama hili litaonekana haliwezekani, basi watendaji wote waliolisababishia Taifa hasara wa step down kupisha uchunguzi tukianza na Mkullo ambaye ameuza kibabe viwanja viwili kwa wahindi wezi ambao kila siku tunawatolea povu humu. Toa ushauri wako unaweza ukasaidia kuangushwa kwa serikali hii dokozi ya ccm.