Aisha Adam
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 460
- 103
mh inaweza kuwa kimbembe huko mbeleni et
Sasa we ulifikiri nini tena? Hebu jaribu kuwagonganisha uone moto wake!
mh inaweza kuwa kimbembe huko mbeleni et
Mkuu umesabibisha nimkumbuke mtu hivi mtata sana pale mlimani anaitwa prof rwegasila ndyo yalikuwa mambo yake hayaBora ubaki nao wote wawili! Fanya risk diversfication! Don't put all eggs in the same basket!