tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Nimeona niwashirikishe hili kwani ndilo nililonalo kwa sasa. Kuna mabinti wawili ambao wote wana sifa ninazozihitaji. Nimejitahidi kuwaweka karibu na imekuwa hivyo. Nina malengo ya kuwa na yeyote kati ya hao maishani. Hofu yangu ni kwamba Itakuwaje wote wakinikubali? Pili lengo ni kuminimize risk, je niendelee na huu mchakato au nikomae na mmoja?