RICH OIL SHEIKH
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 883
- 167
Nadra sana sana kiti kilichoandaliwa katika safu ya mbele ya viongozi wa juu katika matukio kubaki wazi, labda walioandaa walikosea kujua idadi ya wahudhuria na nyadhifa zao, au mhusika amesusia. Mimi sina jibu.
Kibabu PADRE kina wivu sana: nadhani kinatamani kupindua nchi. Yaani kakimbia hapo kaenda kusimama kwa masela row za nyuma kabisa huko. Au alikuwa anataka akae jirani na kina mama - ili acheki uwezekano wa 1 night stand