bs miji2 mingne mwaka unaisha hajaku2mia japo sms. Ila cku ukimfuta lazma akupigie!Hii huwa inatokea sana, alafu mtu akipigiwa simu huwa zinakuja sababu za "nimerenew line" au "nimepoteza simu". Kumbuka hawa wafuta namba wengine ni marafiki tu. Ninachojiuliza> inawezekana watu huwa wanakuwa na malengo gani wanapochukua namba na kuifuta baada ya siku chache? Nawasilisha.