mkabidhi tu baba maana tunaambiwa kuwa bnadam huwa robo ni chiz sasa siku zikmpanda utaliaje kudadek!!
watamsaidia mchana yeye usku akuwa anarud kulala tu!!
Secretaryiiiiiee
kuja jibu hawa mineno!
Wanakuuliza eti utakua wala nini ? Na kono la Tembo ushalibabadua, huko Magwe ?
Namie nijuavyo bila "mkono wa Tembo" kuwepo kwa ma'ladies maisha hayapo .
Secretaryiiiiiee
kuja jibu hawa mineno!
Wanakuuliza eti utakua wala nini ? Na kono la Tembo ushalibabadua, huko Magwe ?
Namie nijuavyo bila "mkono wa Tembo" kuwepo kwa ma'ladies maisha hayapo .
af nikishika uraisi kwa 24 hrs watu kama hawa nawaagizia dr kutoka apolo india
watawekewa mikono ya marehemu ambao walikuwa imara
hapo vip??
tuambiane ukweli kwa saut ya chin jf wasisikie wewe hujawai kumlamba my love wako a/c zake??
Wagombanao ndy wapatanao!
Mkijapatana na Mnara ushaukata, mtajikulaje ?
Si ndiyo utakua unakuliwa chocho, hom kulala tu ?
Namchukua JK awe mshauri wangu wa SAFARI.
Tutaaanza trip ya masaa 24 kuelekea miji yoyote itakayochuka muda huo, kuanzia alfajiri mpaka alfajiri ya siku ya pili. Nikirejea nitakuwa ninmeshamvunjia rekodi Vasco da Gama.
Kweli Mkuu, Obama tangu awe Rais kaja Afrika mara ngapi na VdaGama kaenda US mara ngapihuwezi kumfkia huyu ratio yake kamzid hata obama!
1. Nitamwachia huru papii kocha,babu seya simuachii ng'o.
2. Chenchi ya rada nitahakikisha watoto wote inji hii wanapata kiti na desk,aibu jamani wanetu kukalia mawe.
3.NBC nitaitaifisha,hivi kwa nini tuliiuza?
4. Nitapiga marufuku uanzishwaji wa migodi mipya,kama hatuwezi kuchimba wenyewe kwa mtaji wetu bora tuviachie vitukuu vitajua la kufanya,sio wakute mashimo.
5. Mwisho but more importantly nitamkaribisha dina ikulu The secretary.
Je, unafikiri huu ushauri unawafaa wale wanaokwenda kuchukua nchi?
Ntalihutubia Taifa