1. Nitamwachia huru papii kocha,babu seya simuachii ng'o.
2. Chenchi ya rada nitahakikisha watoto wote inji hii wanapata kiti na desk,aibu jamani wanetu kukalia mawe.
3.NBC nitaitaifisha,hivi kwa nini tuliiuza?
4. Nitapiga marufuku uanzishwaji wa migodi mipya,kama hatuwezi kuchimba wenyewe kwa mtaji wetu bora tuviachie vitukuu vitajua la kufanya,sio wakute mashimo.
5. Mwisho but more importantly nitamkaribisha dina ikulu The secretary.
Ningehakikisha PLATOZOOM & CHARMINGLADY nawapigisha ndoa ya mkeka! Leoleo .
ningempeleka BISHANGA honeymoon
bado utakuwa na wewe ni fisadi kwa kujipendelea wewe tu!!
Ona ulivyotepeta!
Tepweeetee!
Kumbe alishakunasa?
Na mishebeduo na mishauzi uliyokua nayo!
Bashaija kama anapaka slesi siagi vile !
Kakunasia ikulu ya kwenye screen!
ningempeleka BISHANGA honeymoon
kha! mbna nasakamwa kila pembe ya nch? cdhan km kuna uzi hapa chitchat haujamtaja charminglady! CPUMUI . . . .
wapi ?
Sorry Shem! Sikudhani kama ungetoka povu kiivo!
Sitorudia kukutajataja!
Beg excuse.
Yaaani fasta within 4 hours ntataka kujua balance ya account ya epa BOT afu ntaagiza waweke kwenye akaunti langu kama vi trilioni vi 5..pili ntahakikisha naweka mademu zangu kwenye post haza za udc kusudi nikiwa naenda kwenye ziara nisipigwe na baridi mie..tatu kuna polisi pale urafiki alinioneaga zamani akaniweka ndani yaani nampa kesi la uhaini..bila shaka itakuwa 24 hours zimeisha..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Badilisha mikataba ya madini,gesi govt kuwa na 51%.mla rushwa kupigwa risasi,waendao guest kuwa na vyeti vya ndoa
mabwepande