Hizo zote zipo hapa:Mzee Yusuf, si mwingine...wachezea koki weye, utalowa ati. Soda ya kopo....na leo tena wanogewa mpaka wavunja kikapu. Mambo ya Nataka Paja mie.. teh teh teh..hebu kishushe mkuu
tehe tehe tehe tehe teeh hii makitu nilikuwa sipendi baada ya kupata kitu cha kizenji nikajikuta naanza kurusha vidole hewani kama tiaraMzee Yusuf, si mwingine...wachezea koki weye, utalowa ati. Soda ya kopo....na leo tena wanogewa mpaka wavunja kikapu. Mambo ya Nataka Paja mie.. teh teh teh..hebu kishushe mkuu
Nilikimbilia hii thread nikajua ni yale mambo ya taarabu imo?
My Dear hujakosea ila ni kwamba kuna kibao matata cha taarabu Robot atatuwekea JF tukisikilize. Kwahiyo kaa mkao wa kukisikiliza maana najua na wewe hujakipata...
Unaijua na hii ya muda kidogo 'Bunduki bila risasi'?!...Haloo
My dia hebu njoo kidogo basi tucheze taratibu taarabu za Juma Balo ama Bi Kidude....unawajua hao Bellies!
Nawakumbuka hao wakongwe,tusubiri na hicho kibao kipya tuburudike vizuri. Hope by end of the week,kitawekwa hapa JF!...
Taarab imo weye?Umenikumbusha mbali,1960(usicheke kwa nguvu,LOL)!..Nawakumbuka hao wakongwe,tusubiri na hicho kibao kipya tuburudike vizuri. Hope by end of the week,kitawekwa hapa JF!...
Taarab imo weye?
Taarab imo weye?
masha'Llaaah........Ipo na inapanda mkuu
Shem hata mie? mbona mie joka la kibisa sina sumu.....BJ ni mkata issue mwenzangu tunamkoma nyani hapa hapa.....Heheheh Shem tafadhali...huyu bint analindwa na mitambo ya kuzuia mabazazi ...hutakiwi kuuliza....ni mimi tu hahahah sawa?
Shem hata mie? mbona mie joka la kibisa sina sumu.....BJ ni mkata issue mwenzangu tunamkoma nyani hapa hapa.....
Shem hata mie? mbona mie joka la kibisa sina sumu.....BJ ni mkata issue mwenzangu tunamkoma nyani hapa hapa.....