Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
Halikua kusudio la Mungu kutufanya tufanane, lingekua basi wote tungefanana mpaka unyayo. Alichotupa ni uwezo wa kujiwezesha kuwa sawa kifikra, kiutendaji n.kLakini mkuu, kusudio la Mungu hapo mwanzo lilikuwa kuwa binadamu wote tuwe sawa ktk angle zote, so unaposema inge-bore, unamaanisha nini?
Huwezi kuwa mvivu/hujitumi alafu hapo hapo ukataka kulingana na mtu anaejishughulisha day in, day out.