charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,369
Habari wakuu wa jamvi,
Jamani hivi watu wametofautiana sana,unajua kwanini nasema hivyo?utakuta kuna mtu yeye anapenda kulia gizani,yaani giza totoro ndio furaha yake,mwingine yeye anataka angalau candle light,mwingine anataka ale mchana kweupe!au kama ni usiku basi zitawashwa taa zote aone pilipili ilipo,ndizi,sijui ndimu,salad,avocado,maharage,mchicha si unajua wengine wanapenda mamichicha marefuuuu,wengine michicha wala hawataki ,kama watermelon basi ayabebe ayapapase huku na kule kabla ya kuendelea na maakuli.
Lakini mimi nacho jua mkono huwa haukosei mdomo ulipo au mdomo si kazi kutafuta mkono wenye chakula ulipo.
Je wewe wapenda kulia wapi?na kwanini?
Jamani hivi watu wametofautiana sana,unajua kwanini nasema hivyo?utakuta kuna mtu yeye anapenda kulia gizani,yaani giza totoro ndio furaha yake,mwingine yeye anataka angalau candle light,mwingine anataka ale mchana kweupe!au kama ni usiku basi zitawashwa taa zote aone pilipili ilipo,ndizi,sijui ndimu,salad,avocado,maharage,mchicha si unajua wengine wanapenda mamichicha marefuuuu,wengine michicha wala hawataki ,kama watermelon basi ayabebe ayapapase huku na kule kabla ya kuendelea na maakuli.
Lakini mimi nacho jua mkono huwa haukosei mdomo ulipo au mdomo si kazi kutafuta mkono wenye chakula ulipo.
Je wewe wapenda kulia wapi?na kwanini?