Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Mie picha yangu ya kwanza sijapata jibu bado.
Nadhani ni Parokia ya Peramiho hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie picha yangu ya kwanza sijapata jibu bado.
I know this area........nimeishi sana eneo karibu na hapo.......basi hata ile picha ya kwanza nimeanza kuikumbuka sasa......unajua tena ni siku nyingi
Nampa Igunga......Tukupe mji basi?
Nadhani ni Parokia ya Peramiho hiyo.
Corect, kanisa la Ndanda to be precise, Ndanda ipo Peramiho. Mkuu umekaa mitaa hiyo nini? Au some serious netizenship tu?
Very beautiful church, I like the architectural design, clearly old school.
Mitaa ya Kinondoni hapo.
Eh, kumbe Ogah na SteveD nao wanapajua Capri Point?
Not only Tanzania, but also East Africa. Unajua liko wapi Tanzania?
Not only Tanzania, but also East Africa. Unajua liko wapi Tanzania?
Bagamoyo?!... daah, sikutarajia kwa kweli. Itabidi nifurumushe makabrasha kucheck historia..Bagamoyo.
SteveD, nilikuwa nakwenda Capri Point kuwatembelea babu na bibi, kuna mtu yoyote amesoma Nyakaoja humu?
...hizo nguzo za jengo mbona kama za soko la Kariakoo?!
woote mmekosea......tena hamjakaribia kabisaaa jibu.....Mitaa ya Kinondoni hapo.
woote mmekosea......tena hamjakaribia kabisaaa jibu.....
Na hapa wapi?