Kuna wengine hununua T-shirt bila kuzisoma zimeandikwa nini, na pia kuna wengine kwa sababu ya shule labda, wanasoma ila hawaelewi maana ya hayo yaliyoandikwa. Nafikiri wanahitaji kuelekezwa maana ya maneno yaliyochapishwa kwenye hizo T-shirt kwa wale watu walio karibu nao kuliko kuwaacha wakidhalilika pasipo kujijua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.