mbona safi tu sema tumeasiliwa na urithi toka kwa adam na eva kuwa eva alimfutia adam ndio tatizo..wana mmu, First of all happy valentine's to you all. Baada ya salamu nauliza hivii, hivi inakuaje kwa wanaume kama mpenzi wako amekuzidi umri? Na kwa wanawake unajiskiaje kama umemzidi mpenzio (mwanaume) umri? Maoni yenu please. . .
Mf! Kongosho bana...ndio najua inakua kama mtu na mpenzi wake sawa, how do you actually feel?
Rahisi kusema age is nothing but but a number laking ukija kwenye reality mmmmmh wala sio tamu kwaupande wangi mie....