Adolf Mark
Member
- Nov 4, 2011
- 50
- 26
Ilikuwa ni December 11, 2010 pale Kitabu kinachokwenda kwa jina la "A Political Biography of Jakaya Kikwete" kilichoandikwa na anayejiita prof Julius Nyang'oro kilipozinduliwa kwa "mbwembwe" katika viwanja vya ikulu jijini Dar es salaam.
Haitoshi tukaambiwa kuwa gharama ya kitabu kimoja itakuwa Tsh 25,000 (ambayo kwa watanzania wengi ni ndoto) lakini pia tukaambiwa vitaanza kuuzwa UDSM, Pia vimeandikwa kwa kiingereza (watanzania wengi hawajui), sasa ikiwa ni zaidi ya mwaka mmoja na miezi miwili tangu kitabu kizinduliwe nataka kufahamu;
a. kimeuza nakala ngapi?
b.kwanini bei ilipangwa kubwa? Je, ili masikini wasinunue au alijulikana hakitauzika?
c.kwanini hakikugawiwa bure? mbona CCM wanapesa ya kumwaga tu? kama ya kununulia mabango na kulipana "miposho"
d.Mbona kitabu hiko hakipo mitaani? ni gharama sana au hakiuziki? kwanini?
e. Je nini kifanyike? kitabu hiko kigawiwe bure?
SOMA ZAIDI: http://ikulublog.com/2010/12/profesa-nyangoro-aeleza-sababu-za-kuandika-kitabu-cha-jk/ na https://www.jamiiforums.com/habari-...o-author-of-kikwete-bio-resigns-from-unc.html
Haitoshi tukaambiwa kuwa gharama ya kitabu kimoja itakuwa Tsh 25,000 (ambayo kwa watanzania wengi ni ndoto) lakini pia tukaambiwa vitaanza kuuzwa UDSM, Pia vimeandikwa kwa kiingereza (watanzania wengi hawajui), sasa ikiwa ni zaidi ya mwaka mmoja na miezi miwili tangu kitabu kizinduliwe nataka kufahamu;
a. kimeuza nakala ngapi?
b.kwanini bei ilipangwa kubwa? Je, ili masikini wasinunue au alijulikana hakitauzika?
c.kwanini hakikugawiwa bure? mbona CCM wanapesa ya kumwaga tu? kama ya kununulia mabango na kulipana "miposho"
d.Mbona kitabu hiko hakipo mitaani? ni gharama sana au hakiuziki? kwanini?
e. Je nini kifanyike? kitabu hiko kigawiwe bure?
SOMA ZAIDI: http://ikulublog.com/2010/12/profesa-nyangoro-aeleza-sababu-za-kuandika-kitabu-cha-jk/ na https://www.jamiiforums.com/habari-...o-author-of-kikwete-bio-resigns-from-unc.html