MawazoMatatu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2008
- 505
- 61
Ningefurahi sana kama angegombea na kushinda ila kuchukua uongozi wa nchi(Urais) si kazi ndogo hasa kwa mtu kutoka upinzani, Mkakati ingebidi ufanywe mapema kidogo, pengine sasa tuanze kampeni kwa ajili ya 2015. Ila vilevile Kikwete hastahili kurudi..! na dawa ni kumpa upinzani ndani ya CCM na kumng'oa.