Elections 2010 Unamuunga mkono Dr. Slaa kugombea URAIS mwaka 2010? Jiandikishe hapa

[
Kama ulikuwa na shida ya kujadili mada ya muungano ungekuja kule, unchokionyesha hapa ni kuwa ukweli umekuchukuza, siwezi kukusaidia. Aliyesema kuwa Karume hajuwi kingereza si mimi ni Prof. Shivji, ambaye silingani naye hasa na masula ya wapi Karume alitokea yalizuka ndani ya mjadala wenyewe na sikuyaleta mimi, nakushangaa unamsemea Dr. Slaa hapa JF wakati yeye ni memba, na ameshasema kuwa hana mpango wa kugombea urais, wanaompakazia ni CCM wanaotaka kuwachanganya wapiga kura wake. Labda wewe na hao wenzako hapo juu unaowaorodhesha ndiyo hao CCM wenyewe aliowasema Dr. Slaa. Mimi nimeleta mzaha tu kwa kuwa hii thread imekaa kimzaha mzaha, provided, kuwa msimamo wa Dr. Slaa unajuulikana na hakuna anayeshughulika tena.
Nafikiri huu mjadala wako unafanana na majadiliano hayo uliyoweka kwenye hiyo picha.

Mkuu, hili halikuniuma kabisa. Mie pia napenda sana mizaha ila tofautisha nyakati. Hii kitu si MZAHA kabisa na tumepania. Itakuwa vema kama na wewe mtani wangu Mzenji ukajiunga kama unaona jamaa anatufaa. Tusipopigania mabadiliko wenyewe mnafikiri nani atafanya? Kumbuka hata Nuhu alipoanza kujenga Mashua yake, watu walimcheka, ila gharika ilipofika....... Kutokana na hali ilivyo kwa sasa, hakuna kipindi kizuri kama hiki kuwashughulikia viongozi wetu na tukimaliza basi turudi kwenye kuushughulikia Muungano wetu.

Hongera Dr. kwa kugundua mapema mpango wa sisiem lakini waache waendelee wewe endelea na mipango yako.

50Cent anasema ..... "GET RICH (DR SLAA) or DIE TRYIN"
 
Wanajamvi samahani naomba nitoke kidogo kwenye mada hii, mimi nauliza tu kuna uhalali gani kwa mkuu wa mkoa kumfukuza mbunge mkutanoni na kumtishia kumuweka rumande? maana jana nimeona kwenye taarifa ya habari ya TBC1 Shekiffu (Mkuu wa mkoa wa Manyara), akimtisha na kumfukuza kwenye mkutano mbunge wa Simanjiro Ole Sendeka!

Kilembwe, bila samahani. Kuna thread ya huo ugomvi wa Sendeka na RC. tayari. Itafute na uulize swali lako huko. Hapa ni kujiandikisha tu kwenye listi. Vipi wewe pia hutuungi mkono?
 
Kama Dr. Slaa agombee urais wa JF mimi naona anafaa sana...nchi si lelemama nyie...Obama keshaota mvi tele kwa stress.

Ni kweli nchi si lele mama lakina Dr Slaa is much better than JK na wengi watakaojitokeza sisi em. Kama ni mvi tayari anazo na ukiota mvi kwa ajili ya taifa lako huna cha kujutia.
 
Ingependeza Kama Dr Slaa na Chadema vingewin Urais mwaka huu. Lakini sioni Mkakati.
 
Ingependeza Kama Dr Slaa na Chadema vingewin Urais mwaka huu. Lakini sioni Mkakati.

Ndiyo mkakati wenyewe huu. Kikwete hataki kura za WAFANYAKAZI sasa kama kuna muda wa mtu kugombea kumuondoa Rais wa CCM ni huu. Pia inaweza kutokea Kikwete akasusa kugombea na Dr. Slaa hajajiandaa, hapo tutajuta kwa kutokujiandaa. Sasa Mkuu, uko na sisi kwenye listi? Tunakaribia 50 sasa kwa siku moja tu.
 
Mnisamehe kama nitaonekana niko tpfauti, simshauri agombee urais, maana ``c.c.m`` mbinu zao ni kali sana, sio lahisi kuwaondoa, hivyo basi nashauri agombee ubunge ili aendelee kuibua uozo na ufisadi unaofanywa nchini.
 
Kaitaba,
Kuna jamaa alimwambia maneno kama hayo Obama, na Obama hakurudi kwa jamaa tena kuchukua ushauri. Hapa hatupo kurudi nyuma.
Yeye Dr Slaa na akili zake achanganye na za kwetu. Ila tukiwa wengi, kuna uwezekano tukazizidi za kwake na akaamuwa kugombea. Njooni kwa wingi ili afahamu watu kiasi gani wanamuhitaji. Kama ubunge kashafanya sana kwa mafanikio makubwa. Muda umefika aongeze hatua moja mbele
 
Ulitakiwa ujuandikishe jina lako tu na au ujiondoe kimya kimya kwenye thread. Huoni umepoteza muda zaidi kwenye kuandika maneno hayo zaidi ya jina tu? Wiki lijalo, hao watakaokuwa wamejiandikisha, ntawaomba Mods wamtumie RASMI kwenye email yake ingawa nafahamu kuwa na yeye yuko hapahapa. Ungelisoma juu Mag3 na Shalom walivyochangia, ndiyo ungelielewa maana ya hii kitu. Kuna siku moja Mungu atakujalia na wewe uelewe.
Mkuu wangu Sikonge tatizo si kujiandikisha tu haichukui hata sekunde kumi kuandika jina lazima ufikirie kwanza kwanini unajiandikisha, ikiwezekana na sababu kama wengine wanavyofanya, ujue hata kutojiandikisha na kutoa sababu inakupatia wewe uliyeleta hii poll uelewa zaidi kuliko kutegemea one sided ambayo inaweza isikupe picha halisi, but all in all we are sailing in the same boat but different floors.
 
Luteni,

Kuna wengi sana walimwambia Obama asigombee. Angeliwasikiliza basi angeliula wa chuya. Ilipotokea kuwa USA kuna matatizo ya Uchumi, Wazungu wenyewe wakaanza kuangalia ni nani ana akili kuweza kusafisha hii hali na si nani ataweza kwenda kurusha mabomu Uarabuni.
Inawezekana sisi hatuko sawa, ila wewe unapendekeza nini? Si uanzishe thread yako na sisi tuje tuone mawazo yako yakoje? Au ndiyo unaleta ya John Mashaka na Dr. Shayo sijui? Shayo yeye ni kuja kukashfu tu maoni ya John Mashaka, ila yeye hata siku moja haanzishi yake. Huo ni uvivu wa kufikiri. Unachokiogopa hasa ninini? At the end of the day WE HAVE NOTHING TO LOOSE.

NYONGEZA: Mbona Kikwete anajulikana kuwa atagombea? Inamaana akitangaza atakuwa kapoteza mvuto? Kampeni inabidi zianze mapema. USA huwa wanaanza mapema na hakiharibiki kitu.
 
LUteni,

Leo umenisikitisha sana kwa michango yako, Kwanza kama Dr amejua mipango ya CCM na wewe unamsupport hutakiwi kusema hadharani kwani unapeleka signal kwa hao wanaomtega kuwa amegundua. Pili wewe unaonekana mambo haya ni mageni kabisa, ili mtu agombee uraisi ina bidi yeye mwenyewe akubari na aingie kwenye nomination.

Alichofanya sikonge hapa ni kumwonesha Dr slaa kuwa kama atafikiria kugombea basi ajue kuwa kuna watu wengi wanamsupport na siyo kwamba wanamlazimishaagombee. sasa unaanza kutoa siri kama unazijua kweli au kuropoka kuhusu mambo ya Chadema!. Unaweza ku google na kuona vitu vingi vya aina hii vikifanyika duniani. Hata huyo socialist wako uliyemweka kwenye avatar yaka kama siyo wakina Harry Reid kumwambia kuwa wanamsupport pengine asingetia mguu kwenye kinyanganyiro.

Muda mweingiene sio lazima kutoa siri za chama ili uonekane kuwa ni mtu wandani.

Slaa anaweza kuvuna wagombea 100 kama akisimama kwenye urais au akaenda bungeni na wagombea wengine 15 akiamua kugombea
Shalom

Maneno yako yana uzito fulani, najua huwa tupo pamoja wakati mwingi katika mipango ya Chadema, uzuri wangu sijui ndiyo ubaya kwa wengine huwa sijui kujificha, umesema tunawapa signal sisiem, unajua hata kumfanya mpinzani wako ajue kuwa unajua mbinu zake nayo ni mbinu tosha ataanza kubabaika kama wanavyofanya sasa wameshindwa kubashiri ni nani atasimama kwa tiketi ya Chadema wengi wanahisi SAS, Six, Slaa nk tuwaache wawe kwenye suspense hadi siku ya siku, binafsi nafikiri ni mbinu nzuri tusubiri siku atakapotangazwa ataleta mshindo, wewe chukulia mfano wa wagombea wa CUF kila mtu anawajua siku akitangazwa hawatakuwa na impact/mvuto wowote kwa walengwa. Shalom
 
Labda huyu Dr. Slaa anatakiwa KUAMSHWA. Nimeona tufanye SENSA ya haraka haraka humu ndani ya JF. Kwa wale wote wanaoona DR SLAA agombee mwaka huu basi hebu jiandikishie jina lako tuone mwisho wa wiki tutakuwa wangapi. Tujitokeze kwa wingi ili kumuonyesha Dr. Slaa anavyohitajika.

Dr. Slaa, samahani nimeamua kuanzia jina lako kwa makusudi kabisa maana JEMADARI lazima awe mbele na wengine watafuata.

1. Dr. Slaa 2. MKANDARA 3. King of kings 4. Masanilo kugema 5. Fidel80

6. Bht 7. Tanzania 8. Ndege ya Uchumi 9. Jiwe 10. Jakathesi

11. Technician 12. Kilembwe 13. Ndjabu Da Dude 14. Bollo Yeng 15. Selous

16. Nyamizi 17. Mfwatiliaji 18. Sikonge 19. Ben 20.Lorah

21. Chief 22. Alpha 23. Malunde-Malundi 24. Muhindi 25. Nanu

26. Betina 27. Baija Bolobi 28. Epigenetics 29. Member 911 30. Mlalahoi

31. Mag3 32. Nndondo 33. Tai Ngwilizi 34. Sn2139 35. Shalom

36. Mc 37. Firstlady1 38. Henge 39. Nemesis 40. Mchili

41. Ngambo Ngali 42. Positive Thinker 43. Advocate Jasha 44. Zhule 45.
46. Pasco
 
Labda huyu Dr. Slaa anatakiwa KUAMSHWA. Nimeona tufanye SENSA ya haraka haraka humu ndani ya JF. Kwa wale wote wanaoona DR SLAA agombee mwaka huu basi hebu jiandikishie jina lako tuone mwisho wa wiki tutakuwa wangapi. Tujitokeze kwa wingi ili kumuonyesha Dr. Slaa anavyohitajika.

Dr. Slaa, samahani nimeamua kuanzia jina lako kwa makusudi kabisa maana JEMADARI lazima awe mbele na wengine watafuata.

1. Dr. Slaa 2. MKANDARA 3. King of kings 4. Masanilo kugema 5. Fidel80

6. Bht 7. Tanzania 8. Ndege ya Uchumi 9. Jiwe 10. Jakathesi

11. Technician 12. Kilembwe 13. Ndjabu Da Dude 14. Bollo Yeng 15. Selous

16. Nyamizi 17. Mfwatiliaji 18. Sikonge 19. Ben 20.Lorah

21. Chief 22. Alpha 23. Malunde-Malundi 24. Muhindi 25. Nanu

26. Betina 27. Baija Bolobi 28. Epigenetics 29. Member 911 30. Mlalahoi

31. Mag3 32. Nndondo 33. Tai Ngwilizi 34. Sn2139 35. Shalom

36. Mc 37. Firstlady1 38. Henge 39. Nemesis 40. Mchili

41. Ngambo Ngali 42. Positive Thinker 43. Advocate Jasha 44. Zhule 45.

...Mbu na wanawe wote!
 
Luteni,

Kuna wengi sana walimwambia Obama asigombee. Angeliwasikiliza basi angeliula wa chuya. Ilipotokea kuwa USA kuna matatizo ya Uchumi, Wazungu wenyewe wakaanza kuangalia ni nani ana akili kuweza kusafisha hii hali na si nani ataweza kwenda kurusha mabomu Uarabuni.
Inawezekana sisi hatuko sawa, ila wewe unapendekeza nini? Si uanzishe thread yako na sisi tuje tuone mawazo yako yakoje? Au ndiyo unaleta ya John Mashaka na Dr. Shayo sijui? Shayo yeye ni kuja kukashfu tu maoni ya John Mashaka, ila yeye hata siku moja haanzishi yake. Huo ni uvivu wa kufikiri. Unachokiogopa hasa ninini? At the end of the day WE HAVE NOTHING TO LOOSE.
Sikonge quote me right am not against the move am pro Slaa and Chadema for so long time and nobody can change me about it and I think most of the members know that na sisemi kuwa akiteuliwa kugombea sitampigia kampeni ila ninachosema let him be free to decide, kama ulivyosema hata tukijiandikisha elfu kumi leo, kesho akakataa we have nothing to lose but why begin losing today. Ndiyo najua kwamba most of politicians sometimes NO means YES and vice versa yeye mwenyewe Dr. kasema NO sasa sijui tuilazimishe iwe YES, ofcourse am confused help me.

Kuhusu suala la kuanzisha thread yangu ili uje kutoa maoni nafikiri hapo Sikonge umepotoka kidogo you didnt mean it, nini tofauti ya wewe kuanzisha thread hii na mimi kuja kutoa maoni and vice versa, au una maana mimi nianzishe ili wewe uje kutoa maoni wakati huohuo wewe ukianzisha mimi nisijekutoa maoni anyway tuyaache hayo hayatatusaidia tu focus kwenye mada yenyewe lengo langu kuu ni Chadema ishinde si mtu mmoja ashinde.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom