Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,501
Mme wa shangazi anaitwa baba shangazi, na mke wa mjomba ni shangazi.
yapBaba shangazi! Kwani huko kwenu vipi?
mke wa mjomba huitwa MKAZA HAU/MJOMBAMume wa shangazi utamwitaje? pia mke wa mjomba utamwitaje?
Baba shangazi! Kwani huko kwenu vipi?
Hili baba Shangazi nahisi linaleta utata. ukiita baba shangazi mwingine anaweza kujua kuwa ni kisawe(synonym) cha baba wa shangazi yako(babu).Mme wa shangazi anaitwa baba shangazi, na mke wa mjomba ni shangazi.
Mume wa shangazi ni mkaza shangazi na mke wa mjomba ni mkaza mjomba.
Mume wa shangazi utamwitaje? pia mke wa mjomba utamwitaje?
Mbuya amang'ana?Mbuya tata.
Kwa hiyo kwa kuwa huwa anamkaza shangazi ndo huwa mkamwita jina la ajabu ajabu namna ile. mume wa Shangazi ni Mkaza Shangazi
vipi mke wa Mjomba.....nahisi mnamwita Mkazwa mjomba
Kiswahili raha sana.
Hahaha, lugha ya watu hiyo mkuu hata sijui maana yake.Mbuya amang'ana?
mume wa shangazi- BALAHAU na mke wa mjomba - MKAZAHAUMume wa shangazi utamwitaje? pia mke wa mjomba utamwitaje?
Lolmkaza na mkazwaji