Swadakta. Hili ndiyo jibu . mama nimekukubali.Kweli ubinadamu kazi.
Huyo jua tu hana shukrani, na mtu asiye na shukrani ni mtu asiyejua kuridhika. Unaweza ukamfanyia hata mambo makubwa na bado usisikie asante yake, ukaishia kuambulia malalamiko. Kama unaweza ongea nae, mweleze kwamba hulazimiki kumfanyia chochote (wewe sio baba yake) hivyo kama unayomfanyia hayamtoshi atafute anaeweza zaidi. Asikubabaishe!!
Asa kama huna pesa unang'ang'ana na wanawake wa kazi gani?
madameX naona umekuja ki vingine- umeamua kutonesha macho yako - big up wewe utatoa shukrani dau likiwa shiling ngap ??Sasa ulitaka akudanganye na ukweli Tshs 20k is nothing!
kama ni mimi namwambia nirudishie hiyo nikutumie nyingi halafu namtumia mia mbili
Huyo kakufanya ATM machine yake! Anataka tu akitaka hela kidogo,achomoe kama elfu 50 hv.Pole sana,huyo sio mwanamke wa kuishi nae,atakuaibisha huyo siku ukiishiwa ndani ya nyumba.Pia umchunguze sana,pengine kuna anamlea tofauti na wewe,na pengine anapata donge nono zaidi kuliko unalompa. LAKINI NAJIULIZA,KWA NINI WANAWAKE WANAKUWA HIVYO? Ndo maana wengi wanaishia kumegwa na mwishowe wanaachwa.