Anthonio
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 202
- 21
naunga mkono hoja.
Naunga mkono hoja kwa 100%,
naunga mkono hoja.
Kiukweli ni nadharia tu mkuu kama ulivyo note ila kama alifikia hatua ya kumvulia chupi muuza genge kipindi hicho sijui alikuwa anamwonaje. Niliweka hiyo nadharia based on uzoefu wa wanawake ktk kuwabadilisha wanaume hasa kwenye mavazi, unaweza ukajifanya hupendi kuvaa suti au kuchomekea lakini atatumia kila mbinu mpaka utabadilika na kuanza kupigilia pamba ambazo ulikuwa huzipigi pia nikaangalia huyo muuza genge kama amesomesha mtu chuo kikuu wakati wajanja wa mjini ambao wanaonekana wana hadhi kutoa service kwa mrembo ni issue basi kwa namna ama nyingine alikuwa ana possibility ya ku-grow kibiashara. (KIUKWELI MWANAUME WA UKWELI ATACHUKUA MWANAMKE AMBAE ANAMWONA YUPO NDANI YA UWEZO WAKE KIFIKRA NA OTHER ISSUES NA KAMA AMEMZIDI BASI LAZIMA NA YEYE YUPO KATIKA MCHAKATO FLANI WA KU-MOVE TOKA HATUA MOJA KWENDA NYINGINE NA WAKATI MWINGINE DEMU ANAWEZA KUKUBALI UKAJIULIZA MARA MBILI MBILI MWISHO WA SIKU TUTAISHIA WAPI MAANA ULIPOMTOKEA NA WEWE THE WAY MUONEKANO WAKO ULIVYO AKAJUA NI INTELLECTUAL FLANI KUMBE KILAZA MJANJA WA MJINI NA MUDA MCHACHE UJAO ANAKUKAMATA KATIKA MAZUNGUMZO YA KAWAIDA ANAGUNDUA UPO SHALLOW)
Ni kweli tuwapende ila sometimes na wao ndio maana wanatendwa kwa kupenda kuchagua partner ready made ambao miongoni mwao kuna ambao wana hadhi kweli na kuna ambao pretender akija kugundua ameshanasa na amekabidhiwa zawadi ya mtoto.
wakati ule anatumia hela za gengeni hakuuona huo ugenge!!!!!!!!
Mimi ni msichana wa miaka 20 naishi magomeni jijini dar nimejitokeza kwenu kushare tatizo langu. mimi sina wazazi wote walifariki kwa ajali ya gari mwaka 1998, Mimi waliniacha nasoma shule ya msingi.
Sasa baada ya kumaliza nilifanikiwa kujiunga na sekondari nilisoma hadi form 4 nikamaliza pia nikapass mitihani yangu. nikatakiwa kidato cha tano,kabla sijaenda shule nilibahatika kupata mchumba muuza genge na akaahidi kunisomesha kwani mimi nilikosa ada.
Nashukuru mungu kanisomesha hadi chuo kikuu na nimemaliza hadi sasa nimepata kazi yangu.
Siwezi kuishi na muuza genge hata siku moja kwanza hajui kuvaa akapendeza pili hana elimu.Sasa je nifanyeje kumwambia ukweli kwamba mimi siwezi kuishi na yeye bila kuumiza moyo wake.
"NIMEIKUTA MAHALI NIKASHIKWA NA BUTWAA NIKASHINDWA KUCOMMENT .........HIVI MTU KAMA HUYU UTAMSHAURI NINI!!"
Yaani hizi ishu ni nyingi sana mi si shangai c'z kuna rfk yangu yeye alisomeshwa na fundi kinyozi kuanzia form one mpaka six kwa sababu wazazi wake walikuwa wamefariki akawa analelewa na ndg tu isitoshe uwezo ulikuwa mdogo sana wa huyo ndugu yake. Sasa alipofika chuo akaanza kumzingua jamaa, mwisho ikabidi amwambie kwa elimu yangu ya chuo siwezi kuwa na fundi kinyozi Ikabidi jamaa amwambie poa lkn nikisema unirudishie gharama zangu ntakuwa najifedhehesha endelea na maisha mama Kijana alikuwa alikuwa anachekwa mtaani balaa, washikaji wenzake wakawa wanamwambia hy hela ni bora ungefungua Baba Shop. Amekuwa hana jinsi, hivyo wameachana.
snake cant be trusted, no matter how hard you feed them, they will always bit your ass...
Nakuomba sana utambue na kutofautisha mambo ya kufanya ngono na upendo wa kweli. Ngono (kama physical act) unaweza kufanya na mtu yeyote (hili ni kwa wanaume na wanawakeMkuu Jodoki Kalimilo,
Nakuomba sana utambue na kutofautisha mambo ya kufanya ngono na upendo wa kweli. Ngono (kama physical act) unaweza kufanya na mtu yeyote (hili ni kwa wanaume na wanawake) ila upendo wa kimapenzi huwezi kuwa nao kwa kila mtu unayefanya naye ngono...!
Ili mtu akubali kuoa/kuolewa na mtu, anakuwa na vigezo vyake ambavyo kwa kweli ni dynamic...
Unaweza kusoma zaidi KWENYE HII THREAD
Babu DC!!
bazazi leo umekuwa mtoto mzuri kweli kweli!Inawezekana uko sahihi Ciello lakini taarifa zilizoko hiko site zinasema wanaume wengi walioamua kuwasomesha wapenzzi wao ilhali hawana elimu hukimbiwa kwa hoja kama za kwenye uzi.
Kama umesoma somo la takwimu (statistics) kuna kitu kinaitwa mtawanyiko wa kawaida (normal distribution) ambacho kinadai kuwa hoja inaposema kuwa "wote" maana yake ni asilimia sitini na nane (68%).
Kuna ukweli fulani katika hii kitu.
Bazazi ni Bazazi!
hii inafanana sana na tukio lililotokea kwenye hotel mpja kule kigamboni 2001. baada ya msichana kusoma na kumuona aliyemsomesha kuwa si wa hadhi yake, alimpa live na kusema 'nitakurudishia gharama zako zote ila uniruhusu nikaolewe'. basi jamaa akakubali na kumuomba usiku mmoja tu wa kuagana rasmi, akachukua room kigamboni, bidada akaja bila ajizi wakaanza kuspendi. kumbe jamaa ana lake jambo. ilipofika usiku jamaa alimchinja bidada kama kuku na kuiacha damu ikatiririka kiasi cha mtu akipita mlangoni atajua humu kuna tukio limefanyika. jamaa wala hakukimbia alisubiri kukakucha na polisi walipofika walimkuta amekaa anawasubiri. akawaeleza kilichotokea pamoja na chanzo cha yeye kufanya vile, wakampeleka segerea. mwambie huyo dada aangalie sana,... jashola mtu halipotei hivi hvi..Mimi ni msichana wa miaka 20 naishi magomeni jijini dar nimejitokeza kwenu kushare tatizo langu. mimi sina wazazi wote walifariki kwa ajali ya gari mwaka 1998, Mimi waliniacha nasoma shule ya msingi.
Sasa baada ya kumaliza nilifanikiwa kujiunga na sekondari nilisoma hadi form 4 nikamaliza pia nikapass mitihani yangu. nikatakiwa kidato cha tano,kabla sijaenda shule nilibahatika kupata mchumba muuza genge na akaahidi kunisomesha kwani mimi nilikosa ada.
Nashukuru mungu kanisomesha hadi chuo kikuu na nimemaliza hadi sasa nimepata kazi yangu.
Siwezi kuishi na muuza genge hata siku moja kwanza hajui kuvaa akapendeza pili hana elimu.Sasa je nifanyeje kumwambia ukweli kwamba mimi siwezi kuishi na yeye bila kuumiza moyo wake.
"NIMEIKUTA MAHALI NIKASHIKWA NA BUTWAA NIKASHINDWA KUCOMMENT .........HIVI MTU KAMA HUYU UTAMSHAURI NINI!!"
hiyo kweli kabisa...., nishawahi kukutana na jamaa analia kama mtoto pale academic bridge (udsm). kamsomesha binti tangu f3. kaja chuo kapata bwana mpaka akampa mimba. demu alikata mawasiliano ndo kisa cha jamaa kufunga safari toka urambo mka dar kumsaka. alichokiona ilibidi alie tu, maana aliona tumbo hilo... hakuwa na cha kuuliza tena. alirudi home mikono nyuma. mie nikampa kampany mpaka kituo cha contena, akapanda gari la ubungo.Alifanya kosa kubwa sana umsomeshe mwanamke kwani wewe ni baba yake? sisemi hivi nionekane nawachukia wanawake bali ni kutokana na athali zitakazofuatia za wewe kumsomesha % kubwa ya waliosomesha wapenzi wao wa kike walikataliwa na hao hao wapenzi nina mifano tofauti ya kesi kama hii mi 5 na yote ni ya kweli.
snowhite! Acha hizo Bana! Bazazi ni mtoto mzuri tu siku zote, tatizo lake ni kuwaambia watu ukweli kwa lugha halisi. Naomba unisamehe hayo ndio madhara na athari za kukulia Temeke Kwa Kindande. Kuishi kule kulitokana na kuwa na wazazi hohehahe.bazazi leo umekuwa mtoto mzuri kweli kweli!
mgema akisifiwa !lol haya basi siongezi nenosnowhite! Acha hizo Bana! Bazazi ni mtoto mzuri tu siku zote, tatizo lake ni kuwaambia watu ukweli kwa lugha halisi. Naomba unisamehe hayo ndio madhara na athari za kukulia Temeke Kwa Kindande. Kuishi kule kulitokana na kuwa na wazazi hohehahe.
Unazijua songombingo za huko snowhite weye? Ni fullu utata, fulu bata; unajua kila seheme kuna raha zake. Hata gerezani kuna raha zake (hivi kuwaona wanaume wawili wanalawitiana mchana kweupe na chumba kunukia marashi chapa mavi sio raha? Uraiani hata wanangonoana huwa wanajifika acha kulawitiana).
Nimesema,Bazazi!