Unamshaurije huyu dada?

Kiukweli ni nadharia tu mkuu kama ulivyo note ila kama alifikia hatua ya kumvulia chupi muuza genge kipindi hicho sijui alikuwa anamwonaje. Niliweka hiyo nadharia based on uzoefu wa wanawake ktk kuwabadilisha wanaume hasa kwenye mavazi, unaweza ukajifanya hupendi kuvaa suti au kuchomekea lakini atatumia kila mbinu mpaka utabadilika na kuanza kupigilia pamba ambazo ulikuwa huzipigi pia nikaangalia huyo muuza genge kama amesomesha mtu chuo kikuu wakati wajanja wa mjini ambao wanaonekana wana hadhi kutoa service kwa mrembo ni issue basi kwa namna ama nyingine alikuwa ana possibility ya ku-grow kibiashara. (KIUKWELI MWANAUME WA UKWELI ATACHUKUA MWANAMKE AMBAE ANAMWONA YUPO NDANI YA UWEZO WAKE KIFIKRA NA OTHER ISSUES NA KAMA AMEMZIDI BASI LAZIMA NA YEYE YUPO KATIKA MCHAKATO FLANI WA KU-MOVE TOKA HATUA MOJA KWENDA NYINGINE NA WAKATI MWINGINE DEMU ANAWEZA KUKUBALI UKAJIULIZA MARA MBILI MBILI MWISHO WA SIKU TUTAISHIA WAPI MAANA ULIPOMTOKEA NA WEWE THE WAY MUONEKANO WAKO ULIVYO AKAJUA NI INTELLECTUAL FLANI KUMBE KILAZA MJANJA WA MJINI NA MUDA MCHACHE UJAO ANAKUKAMATA KATIKA MAZUNGUMZO YA KAWAIDA ANAGUNDUA UPO SHALLOW)

Ni kweli tuwapende ila sometimes na wao ndio maana wanatendwa kwa kupenda kuchagua partner ready made ambao miongoni mwao kuna ambao wana hadhi kweli na kuna ambao pretender akija kugundua ameshanasa na amekabidhiwa zawadi ya mtoto.

Mkuu Jodoki Kalimilo,

Nakuomba sana utambue na kutofautisha mambo ya kufanya ngono na upendo wa kweli. Ngono (kama physical act) unaweza kufanya na mtu yeyote (hili ni kwa wanaume na wanawake) ila upendo wa kimapenzi huwezi kuwa nao kwa kila mtu unayefanya naye ngono...!

Ili mtu akubali kuoa/kuolewa na mtu, anakuwa na vigezo vyake ambavyo kwa kweli ni dynamic...

Unaweza kusoma zaidi KWENYE HII THREAD

Babu DC!!
 
We umeona wapi muuza genge akaoa msomi bhana,uyo dada inabidi apotee mitaa iyo ili jamaa asipate machungu pindi atakapojua amepigwa chini.
 
Mimi ni msichana wa miaka 20 naishi magomeni jijini dar nimejitokeza kwenu kushare tatizo langu. mimi sina wazazi wote walifariki kwa ajali ya gari mwaka 1998, Mimi waliniacha nasoma shule ya msingi.

Sasa baada ya kumaliza nilifanikiwa kujiunga na sekondari nilisoma hadi form 4 nikamaliza pia nikapass mitihani yangu. nikatakiwa kidato cha tano,kabla sijaenda shule nilibahatika kupata mchumba muuza genge na akaahidi kunisomesha kwani mimi nilikosa ada.

Nashukuru mungu kanisomesha hadi chuo kikuu na nimemaliza hadi sasa nimepata kazi yangu.

Siwezi kuishi na muuza genge hata siku moja kwanza hajui kuvaa akapendeza pili hana elimu.Sasa je nifanyeje kumwambia ukweli kwamba mimi siwezi kuishi na yeye bila kuumiza moyo wake.

"NIMEIKUTA MAHALI NIKASHIKWA NA BUTWAA NIKASHINDWA KUCOMMENT .........HIVI MTU KAMA HUYU UTAMSHAURI NINI!!"

kwnza huyo jamaa yako alifanya makosa makubwa sana kukusomesha na nilijua tu nilipoanza kusoma itaishia wapi.Hayo yaliyompata jamaa yako si ya kwanza kutokea yupo pale mlimani profesa mmoja yalimpata hayo hayo akaahidi hatooa tena mpaka kiama.Kwa kiffupi wanaume wenzangu usije hata siku moja ukamsomesha demu wako ukadhani kuwa atakuja kulipa fadhila,kama fadhila kwa mwanamke alishalipa pale alipokupa mwili wake ndio wanawake walivyo hii kesi si ya kwanza wala ya pili,Wala msije mkawaendeleza madem zenu kwa kuwajengea majumba na kuwanunulia magari mkadhani kuwa atakushukuru milele shukrani yake kwako ni pale unapofanya naye mapenzi bure siku mkiachana anaondoka kwa roho nyeupe sabab kashakulipa wala hawajisikii vibaya.Na kama mtu haamini nayo sema afanye kama yaliyomkuta mtoa mada halafu aone matokeo yatakuwaje.

Kama unamwonea huruma sana na hauna jinsi lazima umsomeshe au umwendeleze basi hakikisha haufanyi naye mapenzi we msaidie najua atakuwa anajileta kwako umtie lakini kataa na usimtie hata mara moja mfanye awe kama dada yako hapo kidogo anaweza kukulipa fadhila.Mwanamke unamwendeleza kwa shida kwa miaka hata saba lakini ukizini naye hata mara moja tu basi kwake hayo ni malipo tosha kabisa na anaondoka roho nyepesi akijua kashakulipa msalaba ule wa miaka 7.Hapo hata akikuacha wala hajuti sababu kasha kulipa.
 
Yaani hizi ishu ni nyingi sana mi si shangai c'z kuna rfk yangu yeye alisomeshwa na fundi kinyozi kuanzia form one mpaka six kwa sababu wazazi wake walikuwa wamefariki akawa analelewa na ndg tu isitoshe uwezo ulikuwa mdogo sana wa huyo ndugu yake. Sasa alipofika chuo akaanza kumzingua jamaa, mwisho ikabidi amwambie kwa elimu yangu ya chuo siwezi kuwa na fundi kinyozi Ikabidi jamaa amwambie poa lkn nikisema unirudishie gharama zangu ntakuwa najifedhehesha endelea na maisha mama Kijana alikuwa alikuwa anachekwa mtaani balaa, washikaji wenzake wakawa wanamwambia hy hela ni bora ungefungua Baba Shop. Amekuwa hana jinsi, hivyo wameachana.

Alifanya kosa kubwa sana umsomeshe mwanamke kwani wewe ni baba yake? sisemi hivi nionekane nawachukia wanawake bali ni kutokana na athali zitakazofuatia za wewe kumsomesha % kubwa ya waliosomesha wapenzi wao wa kike walikataliwa na hao hao wapenzi nina mifano tofauti ya kesi kama hii mi 5 na yote ni ya kweli.
 
snake cant be trusted, no matter how hard you feed them, they will always bit your ass...

Mwanamke usomeshwa na baba yake tu.nakubalina na wewe ukitaka kujifanya wewe ndio baba yake yatakukuta ya kukuta kama jamaa yetu.Halafu kuna kitu kimoja nataka kuongezea mwanamke hata kama wote mna degree kuishi na mwanamke aliyesoma ni ishu sabab yeye anajua na wewe unajua ndoa haidumu ndio maana ndoa nyingi walizooana wasomi zimevunjika ukimwambia kapike anasema hawezi kwani naye anafanyakazi kama wewe mwishowe mnaachana.
Sometime nasemaga huu uzungu tunaoiuigaga utakuja kututokea puani kama haujaanza.mwanamke siku zote anatakiwa awe chini ya mwanaume na kama ikishindikana mjomba jiandae.
 
Mkuu Jodoki Kalimilo,

Nakuomba sana utambue na kutofautisha mambo ya kufanya ngono na upendo wa kweli. Ngono (kama physical act) unaweza kufanya na mtu yeyote (hili ni kwa wanaume na wanawake) ila upendo wa kimapenzi huwezi kuwa nao kwa kila mtu unayefanya naye ngono...!

Ili mtu akubali kuoa/kuolewa na mtu, anakuwa na vigezo vyake ambavyo kwa kweli ni dynamic..
.

Unaweza kusoma zaidi KWENYE HII THREAD

Babu DC!!
Nakuomba sana utambue na kutofautisha mambo ya kufanya ngono na upendo wa kweli. Ngono (kama physical act) unaweza kufanya na mtu yeyote (hili ni kwa wanaume na wanawake

Nakubaliana na wewe kabisa kutoka moyoni kwa sababu za kimaadili tu huwa hatujitaji lakini kiukweli hayo niliyoya-bold yanajulikana na tumeshaya-practice kwa kuwa na mtu but inapokuja kwenye future inakuwa hana vigezo vilivyotimia lakini kuna mawili hapa inawezekana mmoja wapo akawa na upendo wa kweli ila hajui kama anapotezewa muda au wote wametamaniana na kila mtu ana mpenzi wake sema mazingira yamewa-force kutimiza mahitaji ya mwili.(lakini hapa experience inaonyesha hata kama unahitaji ngono lakini bado utakuwa na aina flani ya mtu unaemtaka kufanya nae ngono though wachache huwa hawachagui wala hawabagui, uwe muuza genge, mwalimu, mpiga debe)

Ili mtu akubali kuoa/kuolewa na mtu, anakuwa na vigezo vyake ambavyo kwa kweli ni dynamic...
Hapa sawa kabisa kila mtu ana vigezo vyake though wakati mwingine kuna complication na ndio maana utasikia mtu anamsema mwenza wake "yule sio chagua langu kabisa sema mihela yake ndio imeni-force nikakubali ili maisha yaende".

Kwa mtaji huu kuna uwezekano wa mtu akaingia kwenye ndoa bila kuwa na upendo na mwisho wa siku akawa hana tofauti na yule ambae anafanya ngono kama hitaji la mwili lakini hakuna upendo wa kweli.

Asante kwa huo uzi nitaupitia mdau ili nielimike (network utata kidogo) si unajua ni vizuri kuwa na idea mbalimbali kisha una compare na reality kulikoni kutokujua kabisa hivyo nitapitia mie nilikuwa nachangia kwa kuangalia what is happening uswazi kwangu maana the way I see yule muuza genge alikuwa amemdondokea kabisa yule mdada ila bidada yeye alikuwa anapoteza muda ndio maana nikasema sometime hata mwanaume unavyofanya selection lazima uangalie nafasi yako kwa huyo mwanamke (unakuja na SUSTAINABILITY STRATEGY ya maisha yako)
 
Wakati anakulipia ada ulimwona mzuri leo umefanikiwa unamkana~kuna tofauti gani kati ya huyo muuza genge na mlezi wako.fikiria sana juu ya hilo kabla hujatenda;kama utaamua hilo inakubidi uamumue kiekima sana.
 
Inawezekana uko sahihi Ciello lakini taarifa zilizoko hiko site zinasema wanaume wengi walioamua kuwasomesha wapenzzi wao ilhali hawana elimu hukimbiwa kwa hoja kama za kwenye uzi.

Kama umesoma somo la takwimu (statistics) kuna kitu kinaitwa mtawanyiko wa kawaida (normal distribution) ambacho kinadai kuwa hoja inaposema kuwa "wote" maana yake ni asilimia sitini na nane (68%).

Kuna ukweli fulani katika hii kitu.



Bazazi ni Bazazi!
bazazi leo umekuwa mtoto mzuri kweli kweli!
 
Doh! Huyu dada mwenzangu sasa anataka kumchokoza Mungu. Wakati unapokuwa na shida nzito na mbele unaona giza, then unapata msaada usioutegemea jua kuwa ni Mungu. Mungu huinua watu wa kukupa msaada pale unapohitaji. Sasa ni jukumu lake na yeye kumsaidia jamaa ili anyanyuke, abadilike na kuwa yule anayemhitaji. Jamaa kajitoa sana kumrekebishia maisha. Kumuona hafai wakati hela yake ilimfaa is not fair hata kidogo.
 
Mimi ni msichana wa miaka 20 naishi magomeni jijini dar nimejitokeza kwenu kushare tatizo langu. mimi sina wazazi wote walifariki kwa ajali ya gari mwaka 1998, Mimi waliniacha nasoma shule ya msingi.

Sasa baada ya kumaliza nilifanikiwa kujiunga na sekondari nilisoma hadi form 4 nikamaliza pia nikapass mitihani yangu. nikatakiwa kidato cha tano,kabla sijaenda shule nilibahatika kupata mchumba muuza genge na akaahidi kunisomesha kwani mimi nilikosa ada.

Nashukuru mungu kanisomesha hadi chuo kikuu na nimemaliza hadi sasa nimepata kazi yangu.

Siwezi kuishi na muuza genge hata siku moja kwanza hajui kuvaa akapendeza pili hana elimu.Sasa je nifanyeje kumwambia ukweli kwamba mimi siwezi kuishi na yeye bila kuumiza moyo wake.

"NIMEIKUTA MAHALI NIKASHIKWA NA BUTWAA NIKASHINDWA KUCOMMENT .........HIVI MTU KAMA HUYU UTAMSHAURI NINI!!"
hii inafanana sana na tukio lililotokea kwenye hotel mpja kule kigamboni 2001. baada ya msichana kusoma na kumuona aliyemsomesha kuwa si wa hadhi yake, alimpa live na kusema 'nitakurudishia gharama zako zote ila uniruhusu nikaolewe'. basi jamaa akakubali na kumuomba usiku mmoja tu wa kuagana rasmi, akachukua room kigamboni, bidada akaja bila ajizi wakaanza kuspendi. kumbe jamaa ana lake jambo. ilipofika usiku jamaa alimchinja bidada kama kuku na kuiacha damu ikatiririka kiasi cha mtu akipita mlangoni atajua humu kuna tukio limefanyika. jamaa wala hakukimbia alisubiri kukakucha na polisi walipofika walimkuta amekaa anawasubiri. akawaeleza kilichotokea pamoja na chanzo cha yeye kufanya vile, wakampeleka segerea. mwambie huyo dada aangalie sana,... jashola mtu halipotei hivi hvi..
 
Alifanya kosa kubwa sana umsomeshe mwanamke kwani wewe ni baba yake? sisemi hivi nionekane nawachukia wanawake bali ni kutokana na athali zitakazofuatia za wewe kumsomesha % kubwa ya waliosomesha wapenzi wao wa kike walikataliwa na hao hao wapenzi nina mifano tofauti ya kesi kama hii mi 5 na yote ni ya kweli.
hiyo kweli kabisa...., nishawahi kukutana na jamaa analia kama mtoto pale academic bridge (udsm). kamsomesha binti tangu f3. kaja chuo kapata bwana mpaka akampa mimba. demu alikata mawasiliano ndo kisa cha jamaa kufunga safari toka urambo mka dar kumsaka. alichokiona ilibidi alie tu, maana aliona tumbo hilo... hakuwa na cha kuuliza tena. alirudi home mikono nyuma. mie nikampa kampany mpaka kituo cha contena, akapanda gari la ubungo.
 
bazazi leo umekuwa mtoto mzuri kweli kweli!
snowhite! Acha hizo Bana! Bazazi ni mtoto mzuri tu siku zote, tatizo lake ni kuwaambia watu ukweli kwa lugha halisi. Naomba unisamehe hayo ndio madhara na athari za kukulia Temeke Kwa Kindande. Kuishi kule kulitokana na kuwa na wazazi hohehahe.

Unazijua songombingo za huko snowhite weye? Ni fullu utata, fulu bata; unajua kila seheme kuna raha zake. Hata gerezani kuna raha zake (hivi kuwaona wanaume wawili wanalawitiana mchana kweupe na chumba kunukia marashi chapa mavi sio raha? Uraiani hata wanangonoana huwa wanajifika acha kulawitiana).

Nimesema,
Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
snowhite! Acha hizo Bana! Bazazi ni mtoto mzuri tu siku zote, tatizo lake ni kuwaambia watu ukweli kwa lugha halisi. Naomba unisamehe hayo ndio madhara na athari za kukulia Temeke Kwa Kindande. Kuishi kule kulitokana na kuwa na wazazi hohehahe.

Unazijua songombingo za huko snowhite weye? Ni fullu utata, fulu bata; unajua kila seheme kuna raha zake. Hata gerezani kuna raha zake (hivi kuwaona wanaume wawili wanalawitiana mchana kweupe na chumba kunukia marashi chapa mavi sio raha? Uraiani hata wanangonoana huwa wanajifika acha kulawitiana).

Nimesema,
Bazazi!
mgema akisifiwa !lol haya basi siongezi neno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom