Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Kongosho hapo kwenye red ni nini kilitukia? Ni hatma ya huyo mwanaumeduh, kumuacha mtu wa aina hii nafsi inaweza ikusute maisha yako yote, ngumu sana.
Kuna mmoja ilikuwa hivi hivi, au ndio yeye? Ila yeye walizaa na mtoto mmoja, ndio akaenda chuo kikuu. Akamwachia mmewe mtoto mdogo alee, hapo kijana ana meza kariakoo.
Kufika mwaka wa tatu, dada akaolewa na mmiliki wa hotel moja hivi, yaani watu walikuwa wakimuona yule kaka, hadi wanampisha njia.
It was bad! Very bad kwa mwanamme, hakuwa anajua aanzie wapi.
Sitaki kuwa muumini, lakini malipo ni hapahapa duniani!
Bazazi
Last edited by a moderator: