King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Babu kwa makavu hahaha! Same goes for men, stukaa!
So unachomaanisha ni kuwa unavyomkuta mwenza na kumpenda muache hapo hapo kwa hadhi yake na usihangaike kumnyanyua? Manake wanawake tunastruggle, mwanaume umempenda hana kitu. Mnajenga na kununua magari ya maana huku ukiafanya 'maarifa' yale ya The Boss. Lakini mambo yakinyooka anatafuta mrembo wa haja wa hadhi yake na anaejua kutembelea red carpet! Labda kazi ya maendeleo iwe entirely kazi ya mume?
So unachomaanisha ni kuwa unavyomkuta mwenza na kumpenda muache hapo hapo kwa hadhi yake na usihangaike kumnyanyua? Manake wanawake tunastruggle, mwanaume umempenda hana kitu. Mnajenga na kununua magari ya maana huku ukiafanya 'maarifa' yale ya The Boss. Lakini mambo yakinyooka anatafuta mrembo wa haja wa hadhi yake na anaejua kutembelea red carpet! Labda kazi ya maendeleo iwe entirely kazi ya mume?
Huyu mwanamke ana akili sana,
Apewe moyo na ushauri wa kumalizana na muuza genge...Hawa ni kama matope na maziwa....hawawezi kuishi pamoja hata kwa mtutu wa bunduki.
Wanawake wenye akili zao huwa hawadate wadogo zao au watu ambao wana hadhi ya chini yao.
Kama kuna mwanamume hajui ukweli huu basi maumivu ni halali yake!!
Babu DC!!
Last edited by a moderator: