telitaibi
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 551
- 106
Waacheni watoto waje kwangu wala msiwazuie kwani ufalme wa MUNGU ni wao.
awe mke au dada au msichana wa kazi, anyone ambaye anaishi na wewe wakati wa kulea malaika hawa unampa nafasi gani na wewe unachangia vipi katika ukuaji wa watoto wako kwani wanakuwa na kufata wale walio wazunguka.
JIILIZE COME NA JIBU TUFUNDISHANE HAPA MAMBO YA KUJISAHAU NI HASARA KUBWA
Matendo na maneno yenu?
ukaribu wenu na ukarimu wenu vipi?
mahusiano yenu vipi?
je mnapendana na kusaidiana
Kumbuka mchicha hauzai pera itabaki kuwa mboga ya majani.
awe mke au dada au msichana wa kazi, anyone ambaye anaishi na wewe wakati wa kulea malaika hawa unampa nafasi gani na wewe unachangia vipi katika ukuaji wa watoto wako kwani wanakuwa na kufata wale walio wazunguka.
JIILIZE COME NA JIBU TUFUNDISHANE HAPA MAMBO YA KUJISAHAU NI HASARA KUBWA
Matendo na maneno yenu?
ukaribu wenu na ukarimu wenu vipi?
mahusiano yenu vipi?
je mnapendana na kusaidiana
Kumbuka mchicha hauzai pera itabaki kuwa mboga ya majani.