Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
- Thread starter
- #21
Mimi kwa upande wangu simzungumzii Mwalimu wangu, but kuna Afande mmoja alikuwa Makongo Sekondari, sijui kama alikuwa ni Mwalimu kabisa au vipi, ni marehemu now, Afande Miraji, nilikuwa napewa stori zake za vituko, alikuwa ni noma, yaani wanakuambia akikupa adhabu, hutomsahau, akiwa anakutafuta, akikukamata utakiona cha moto, anaweza kukutia aibu mbele hata ya demu wako, wanaJf waliosoma Makongo, hapana shaka watakuwa wanamjua, cause alikuwa ni maarufu sana sana Makongo, alikuwa ana vituko vingi sana, alishawahi kuwalazimiza wanafunzi wakiume mahardcore, waimbe na kucheza taarabu mbele ya wenzao, nasikia pia alipokuwa akipigisha kwata utajuta kuwa mwanafunzi wa Makongo, kina Babu Ayubu, hawawezi kumsahau kabisa, cause mpaka sauti yake alikuwa anaiigiza vizuri kabisa
eeh! R. I. P