Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Binafsi namkumbuka mwl wangu wa Literature miaka hiyo pale Shinyanga sec aliitwa mwl Mipawa almaarufu kama Okonkwo. Alikuwa akija na mtoto wake darasani na huku yeye anakula kiazi na kufundisha. Parade alikuwa anamkosoa headmaster tense na grammar. Alikuwa akimfunga mtoto mgongoni kwa kitenge na kuja naye kazini au kutoka naye! We unakumbuka lipi, tuendelee wadau . . . . . .