Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,301
- 2,076
Mbona kama "AMECHOKA" vile?
Halafu kama ana kikwapa vile? hebu cheki karangi fulani hapo kwapa la kulia,
Mbona kama "AMECHOKA" vile?
Mzee alikuwa vizuri kwa mabinti wakali.Naona vijana 'mapaja' hayo yanawazingua! Huyu demu nasikia alipelekwa kusoma na MENGI huko bondeni!:A S 8:
Kipindi kile alikuwa na figa siku hizi sijui limepotelea wapi.
.Gitaa la dalikimoko
kajaa tele EFM. 93.7 kama uko Dasalama. SAA 10 mpaka SAA 1 jioniYuko wapi huyu msanii Dokii? Hajasikika muda mrefu sana
Daaaah ndiyo station ambayo huwa sifunguikajaa tele EFM. 93.7 kama uko Dasalama. SAA 10 mpaka SAA 1 jioni
Ila huyu mzee Mafupi kawaunganisha wengi sana kwenye grid ya taifa.Rest unapostaili mzee Mafupj.Naona vijana 'mapaja' hayo yanawazingua! Huyu demu nasikia alipelekwa kusoma na MENGI huko bondeni!:A S 8: