Unamjua dada aliyeimba wimbo wa tangazo la epic bongo star search 2012.??

huyu binti hata mimi ananichanganya sema waweza kuta injini ishanoki mpaka basi!
 
Yule modo anaitwa vero kamaliza jitegemee now yupo udsm anasoma masscom na alieimba ni maunda jamani co enika na mwenye nyimbo ni mzee king kick over.
 
Back
Top Bottom