matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Daaaahh huyu dada ameleta shidaee!
kuna mshikaji wangu alinambia akimpate yeye anaoa na kutulia kabisa.
basi ana nyota yenye nuru.
Daaaahh huyu dada ameleta shidaee!
kuna mshikaji wangu alinambia akimpate yeye anaoa na kutulia kabisa.
tena inaangaza! namuombea apate mume mwema, na si wa kumtamani tu! maana nionavyo hapa...........??? lol!basi ana nyota yenye nuru.
tena inaangaza! namuombea apate mume mwema, na si wa kumtamani tu! maana nionavyo hapa...........??? lol!
wakaka wa kibongo kwa kutamani, kuchezea na kusepa! aseee wana phd khaaaaaa!watu wamekufa kiukweli aisee,si unaona wanavyofunguka.
wakaka wa kibongo kwa kutamani, kuchezea na kusepa! aseee wana phd khaaaaaa!
yule ni misoji kama sijakosea alishinda bongo star search ile ya pili... kuhusu sauti sijathibitisha kama ni ya nani
kwani uongo?? unaguna nini thatha?mmmhhhhhhh!!!!!
wakaka wa kibongo kwa kutamani, kuchezea na kusepa! aseee wana phd khaaaaaa!
hazina idadi, hazina hesabu! una lingine papito??? uliza tu!ushachezewa marangapi?
ushajiulzia kwanini unamegwa na kuachwa??hazina idadi, hazina hesabu! una lingine papito??? uliza tu!
hazina idadi, hazina hesabu! una lingine papito??? uliza tu!
mwenyewe naenjoy hiyo hali khaaaaaa! nafurahije thatha?? sioni kama ni tatizo, kwani ni tatizo eeee??ushajiulzia kwanini unamegwa na kuachwa??
uchunguzi wa nini papito?? naona raha mie hivyo khaaaaaaa! kalaghabaho!haiwezekan wawe wanapiga na kusepa,kuna tatizo hapo hebu fanya uchunguzi