Unamfahamu miss tz huyu?

rose d

Member
Jun 9, 2011
7
0
HII NIMEIKUTA KWENYE www.jeedygirl.blogspot.com



[h=2]Wednesday, October 20, 2010[/h] [h=3]FULL SCANDEL YA MISS TANZANIA[/h]
Leo nataka nikujulishe kitu ambacho hukifahamu kuhusu Miss Tanzania wa mwaka ...... kuponi.
ni miss maharufu kabisa na anajulikana kabisaaaa. ni miss ambaye hajaandikwa kwenye magazeti ya udaku kwakweli na msifu mno kwa hilo. mambo yake anayafanya kichinichini namsifu kwa kujieshimu mno.
lakini ni miss mwenye majivuno na kuringa mno na watu wengi wamekuwa wakimzungumzia kwa hilo.
sasa nataka ufahamu sababu ya tabia yake ya majivuno ya kupitiliza na zarau yakupita kiasi.
Miss Tanzania wetu huyu amezaliwa nchi ya nje. siri ambayo majaji pia hawaifahamu nazani maana bila ya hivyo angeweza kutolewa kwenye kinyan'ganyilo cha ulimbwende au kumpelekea asichukue taji hilo.
baada ya miaka mitano ya baadae yeye na familia yake akiwemo baba yake mama yake na mdogo wake walipatwa na misukosuko (kuponi) yakupelekea kusambaratisha familia hiyo nakumwacha mama yake na mdogo wake wakiwa wakiwa nchi ya mbali hili hali yeye na baba yake kukimbilia nyumbani Tanzania.
Miss huyu alikuwa akiishi maisha ya kutanga tanga kwakuwa baba yake hakuwa na makazi maalumu.
ndipo akaonwa na mtoto wa tajiri mkubwa maarufu katika jiji la zanzibar anaishi eneo kubwa kabisa MAISARA.
binti yule alimpenda sana kwani miss wetu huyu ni mzuri mwenye mvuto mkubwa sana. akamuomba baba wa miss amchukue japo washinde naye mpaka jioni na amrudishe kwani jua ni kali na mtoto mzuri kama huyo asinge vumilia kumuona anateseka na njaa na jua hili hali kwao nikaribu na angemrudisha muda atakao muhitaji.
baba wa miss akampatia binti wa tajiri mtoto kwa makubaliano ya kumrudisha na hiyo ikawa ni kawaida ya binti tajiri kwa kipindi kirefu
mara binti wa tajiri akaomba ombi lingine lakumchukua mtoo miss tanzania nakuishi naye kwa ahadi ya kumsomesha na kumtunza mpaka hapo baba mtoto atakapo pata makazi na uwezo wa kumchukua na kumtunza.
hapo ndipo miss wetu elimu yake ilipoanzia kwa msaada wa binti wa tajiri maarufu wa zanzibar.
ilipita miaka kazaa namaisha matamu na mazuri ya miss wetu yakaendelea mpaka siku baba yake alipo jitokeza na kudai mtoto wake.
kwakuwa binti wa tajiri na wazazi wake walikubaliana juu ya hili. basi hawakuwa na budi kumwachia mtoto wa watu.
miss wetu aliondoka na baba yake na kuja dar es salaam na kuanza maisha mapya. huku dar alikuta baba yake ameoa mama wa kambo. na wana mtoto mmoja tayari yaani mdogo mwingine wa miss.
miss hakufahamu kusu mama halisi na mtoto halisi walio achwa nchi ya nje mpaka siku alipopewa kipigo cha nguvu na mama wa kambo hili hali baba mzazi akishuhudia. Ndipo alipo mtaka baba yake amueleze ukweli mama yake yuko wapi maana amechoka kufungwa minyoror na kamba za katani na kupewa kipigo cha nguvu haitoshi hiyo kunyimwa chakula alichopika mwenyewe na kuwashuhudia watoto wa mama wa kambo na baba yako mzazi wamekaa mezani na mama wakambo wakishambulia mapaja ya kuku kisawasawa. too painful.
ilifika siku baba wa miss wetu uzalendo ukamshinda na kumpa mkanda mzima wa mambo halisi yaliyotokea na kumfanya hadi wawe hapo. alimpatia miss wetu picha ya mama yake mzazi na yamdogo wake wa damu. wakiwa katika mzungumzo hayo. mama wakambo akatokea na kunyang'anya kumbukumbu muhimu ya picha na kuzichana na kuchoma moto.
ilikuwa siku ya maumivu makubwa baina ya baba na mtoto. hawakuwa na namna maana mama wa kambo alikuwa amekamata mpini ipaswavyo baba hapinduki kwa mamsup huyo.
maisha ya tabu nyingi na manyanyaso ya kupindukia yaliendelea na miss wetu alizidi kukua na kuwa mrembo zaidi na mkong'oto uliendelea mara dufu kwa wivu wa mama wa kambo.
malezi mabaya aliyo pata mtoto miss tanzania ndiyo yalimjengea chuki kwa kila binadamu na hakupata wa kumwamini kwa lolote.
miss huyu hakuwa na rafiki wala boyfriend kwa kipindi chake chote cha masomo ya secondary ikampelekea kufanya vizuri masomo yake na kumwingiza chuo kikuu.
akiwa anasubiria matokea. mwanafunzi mwenzake ambaye aliguswa mno na historia mbaya ya maisha ya miss wetu akamtorosha kwao.

MWANAFUNZI HUYO MWEMA NI NANI? ALIMTOROSHEA WAPI? ILIKUWAJE BAADA YA HAPO? ILIKUWAJE AKAWA MISS?
NA ALIFANIKIWA KUWAPATA NDUGU ZAKE? MISS TANZANIA HUYU WA MWAKA GANI? ANAITWA NANI? NA MASWALI MENGINE MENGI YOTE HAYA UTAFAHAMU WEEK IJAYO UNACHOTAKIWA KUFANYA NIKUTEMBELEA TOVUTI HII MARA KWAMARA KWA KUPATA YANAYOENDELEA AMBAYO HUYAFAHAMU. LIFE GOES ON.
ASANTE NA KARIBU SANA.
 
HII NIMEIKUTA KWENYE www.jeedygirl.blogspot.com

MWANAFUNZI HUYO MWEMA NI NANI? ALIMTOROSHEA WAPI? ILIKUWAJE BAADA YA HAPO? ILIKUWAJE AKAWA MISS?
NA ALIFANIKIWA KUWAPATA NDUGU ZAKE? MISS TANZANIA HUYU WA MWAKA GANI? ANAITWA NANI? NA MASWALI MENGINE MENGI YOTE HAYA UTAFAHAMU WEEK IJAYO UNACHOTAKIWA KUFANYA NIKUTEMBELEA TOVUTI HII MARA KWAMARA KWA KUPATA YANAYOENDELEA AMBAYO HUYAFAHAMU. LIFE GOES ON.
ASANTE NA KARIBU SANA.
Mbona kama imekaa kishigongo shigongo vile. Anyway yaweza kuwa Riwaya nzuri.
 
Haya ndio mambo nisiyoyataka ya kupeana story nusu nusu,au ni kupigia promo blog, sawa tumeiona tutafuatilia
 
Uhuni huu, sisi hatuko interested kusoma ili tupate jibu wenyewe. Mimi na ma miss wapi? Lete jina na picha yake tuone hapa tukuulize maswali. Shigongo type hiyo!
 
Hii blog nimeishtukia, sizani kama imeenda shule kisawasawa, ndio maana imekaa kidaku daku, hebu oneni hapo chini lugha zinazotumika huko, vilaza



i was at work that day and i got a call from one of maid informed that my son got burned him self. i didn't want to believe this i was like in middle of dreams. i asked one of worker mate to take me there co'z time was almost done and meanwhile i was called all my family informed about this plus my husband of course. on the way my husband called me informed that he already at home and picked our son to the hospital so no needed of me running there instead lets meet at hospital (Aghakhan Hospital) i wanted to know what exactly happen and he told me no time for that i should pray for our son by that time instead of asking questions and crying. he told me its true he real burned so badly lets hope to the God. he didn't finish i was fallen down loose memory till my mate asked me to drop and find means to back town where the hospital located. i felt to died that day. i dropped out his car and don't know way to take take out the shoes felt the heavy.....u cant imagine how i was felt that day. real a day to remember.


FIND OUT WHAT WAS HAPPENED THE TIME I REACH AT THE HOSPITAL?????????
mind this the picture i have post its taken a month later a day we came out to the hospital

 
Hii blog nimeishtukia, sizani kama imeenda shule kisawasawa, ndio maana imekaa kidaku daku, hebu oneni hapo chini lugha zinazotumika huko, vilaza
i was at work that day and i got a call from one of maid informed that my son got burned him self. i didn't want to believe this i was like in middle of dreams. i asked one of worker mate to take me there co'z time was almost done and meanwhile i was called all my family informed about this plus my husband of course. on the way my husband called me informed that he already at home and picked our son to the hospital so no needed of me running there instead lets meet at hospital (Aghakhan Hospital) i wanted to know what exactly happen and he told me no time for that i should pray for our son by that time instead of asking questions and crying. he told me its true he real burned so badly lets hope to the God. he didn't finish i was fallen down loose memory till my mate asked me to drop and find means to back town where the hospital located. i felt to died that day. i dropped out his car and don't know way to take take out the shoes felt the heavy.....u cant imagine how i was felt that day. real a day to remember.FIND OUT WHAT WAS HAPPENED THE TIME I REACH AT THE HOSPITAL?????????mind this the picture i have post its taken a month later a day we came out to the hospital
Jamani, lugha za watu ngumu!
 
Uhuni huu, sisi hatuko interested kusoma ili tupate jibu wenyewe. Mimi na ma miss wapi? Lete jina na picha yake tuone hapa tukuulize maswali. Shigongo type hiyo!
Kama huna cha kuchangia nyamaza Huna interest na Miss unachangia nini sasa?! Silence means...,
 
HII NIMEIKUTA KWENYE www.jeedygirl.blogspot.com



[h=2]Wednesday, October 20, 2010[/h] [h=3]FULL SCANDEL YA MISS TANZANIA[/h]
Leo nataka nikujulishe kitu ambacho hukifahamu kuhusu Miss Tanzania wa mwaka ...... kuponi.
ni miss maharufu kabisa na anajulikana kabisaaaa. ni miss ambaye hajaandikwa kwenye magazeti ya udaku kwakweli na msifu mno kwa hilo. mambo yake anayafanya kichinichini namsifu kwa kujieshimu mno.
lakini ni miss mwenye majivuno na kuringa mno na watu wengi wamekuwa wakimzungumzia kwa hilo.
sasa nataka ufahamu sababu ya tabia yake ya majivuno ya kupitiliza na zarau yakupita kiasi.
Miss Tanzania wetu huyu amezaliwa nchi ya nje. siri ambayo majaji pia hawaifahamu nazani maana bila ya hivyo angeweza kutolewa kwenye kinyan'ganyilo cha ulimbwende au kumpelekea asichukue taji hilo.
baada ya miaka mitano ya baadae yeye na familia yake akiwemo baba yake mama yake na mdogo wake walipatwa na misukosuko (kuponi) yakupelekea kusambaratisha familia hiyo nakumwacha mama yake na mdogo wake wakiwa wakiwa nchi ya mbali hili hali yeye na baba yake kukimbilia nyumbani Tanzania.
Miss huyu alikuwa akiishi maisha ya kutanga tanga kwakuwa baba yake hakuwa na makazi maalumu.
ndipo akaonwa na mtoto wa tajiri mkubwa maarufu katika jiji la zanzibar anaishi eneo kubwa kabisa MAISARA.
binti yule alimpenda sana kwani miss wetu huyu ni mzuri mwenye mvuto mkubwa sana. akamuomba baba wa miss amchukue japo washinde naye mpaka jioni na amrudishe kwani jua ni kali na mtoto mzuri kama huyo asinge vumilia kumuona anateseka na njaa na jua hili hali kwao nikaribu na angemrudisha muda atakao muhitaji.
baba wa miss akampatia binti wa tajiri mtoto kwa makubaliano ya kumrudisha na hiyo ikawa ni kawaida ya binti tajiri kwa kipindi kirefu
mara binti wa tajiri akaomba ombi lingine lakumchukua mtoo miss tanzania nakuishi naye kwa ahadi ya kumsomesha na kumtunza mpaka hapo baba mtoto atakapo pata makazi na uwezo wa kumchukua na kumtunza.
hapo ndipo miss wetu elimu yake ilipoanzia kwa msaada wa binti wa tajiri maarufu wa zanzibar.
ilipita miaka kazaa namaisha matamu na mazuri ya miss wetu yakaendelea mpaka siku baba yake alipo jitokeza na kudai mtoto wake.
kwakuwa binti wa tajiri na wazazi wake walikubaliana juu ya hili. basi hawakuwa na budi kumwachia mtoto wa watu.
miss wetu aliondoka na baba yake na kuja dar es salaam na kuanza maisha mapya. huku dar alikuta baba yake ameoa mama wa kambo. na wana mtoto mmoja tayari yaani mdogo mwingine wa miss.
miss hakufahamu kusu mama halisi na mtoto halisi walio achwa nchi ya nje mpaka siku alipopewa kipigo cha nguvu na mama wa kambo hili hali baba mzazi akishuhudia. Ndipo alipo mtaka baba yake amueleze ukweli mama yake yuko wapi maana amechoka kufungwa minyoror na kamba za katani na kupewa kipigo cha nguvu haitoshi hiyo kunyimwa chakula alichopika mwenyewe na kuwashuhudia watoto wa mama wa kambo na baba yako mzazi wamekaa mezani na mama wakambo wakishambulia mapaja ya kuku kisawasawa. too painful.
ilifika siku baba wa miss wetu uzalendo ukamshinda na kumpa mkanda mzima wa mambo halisi yaliyotokea na kumfanya hadi wawe hapo. alimpatia miss wetu picha ya mama yake mzazi na yamdogo wake wa damu. wakiwa katika mzungumzo hayo. mama wakambo akatokea na kunyang'anya kumbukumbu muhimu ya picha na kuzichana na kuchoma moto.
ilikuwa siku ya maumivu makubwa baina ya baba na mtoto. hawakuwa na namna maana mama wa kambo alikuwa amekamata mpini ipaswavyo baba hapinduki kwa mamsup huyo.
maisha ya tabu nyingi na manyanyaso ya kupindukia yaliendelea na miss wetu alizidi kukua na kuwa mrembo zaidi na mkong'oto uliendelea mara dufu kwa wivu wa mama wa kambo.
malezi mabaya aliyo pata mtoto miss tanzania ndiyo yalimjengea chuki kwa kila binadamu na hakupata wa kumwamini kwa lolote.
miss huyu hakuwa na rafiki wala boyfriend kwa kipindi chake chote cha masomo ya secondary ikampelekea kufanya vizuri masomo yake na kumwingiza chuo kikuu.
akiwa anasubiria matokea. mwanafunzi mwenzake ambaye aliguswa mno na historia mbaya ya maisha ya miss wetu akamtorosha kwao.

MWANAFUNZI HUYO MWEMA NI NANI? ALIMTOROSHEA WAPI? ILIKUWAJE BAADA YA HAPO? ILIKUWAJE AKAWA MISS?
NA ALIFANIKIWA KUWAPATA NDUGU ZAKE? MISS TANZANIA HUYU WA MWAKA GANI? ANAITWA NANI? NA MASWALI MENGINE MENGI YOTE HAYA UTAFAHAMU WEEK IJAYO UNACHOTAKIWA KUFANYA NIKUTEMBELEA TOVUTI HII MARA KWAMARA KWA KUPATA YANAYOENDELEA AMBAYO HUYAFAHAMU. LIFE GOES ON.
ASANTE NA KARIBU SANA.
yaani wewe uliotoa hii mada ovyoooooo rudi shule kwanza
 
Anjela Damas tu hyo nakipindi anasoma makongo alikuwa mlokole acha


Angela Damas Mtalima.jpg
mkuu kwahiyo unamaanisha ni huyu sio! naona itakuwa bora ili jamaa asimalizie story yake...............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom