Chokochoko
JF-Expert Member
- Oct 15, 2011
- 438
- 183
yaani kweli huyu ni expt, halafu ni mchafuu anatia kero nimejaribu kumbadilisha kwakila mbinu ila haelekei, akifua nguoDah! Huyu naona ni exceptional!
lazima nirudie zinaanuliwa zikiwa zinanuka jasho kuliko zilivyokua mwanzo hazijafuliwa, hajipendi ila wanaume ?!
Kwakweli huyu msichana namvumilia kwa vile sina namna.. Bado ni mwaribifu wa vitu na hataki kuambiwa
nikimwambia tunajibizana kama mke mwenza vile, yaani hawa mahg kumpata wa kumtendea hizo sifa hapo juu ni bahati sana wao wenyewe sio wa hivyo.
0