Hongera bibie nawe kwa kutoa mchango wako nawapenda sana kina dada wanaopenda soka.Mi namkumbu juma kaseja na emanuel okwi enzi hizo
Heheee! Sawa ila kwangu hao ni wajuzi juzi tu,asante kwa mchango wako.Mi namkumbu juma kaseja na emanuel okwi enzi hizo
Wacha nimsaidie kujibu mkono hujikuna unapofika ndo maana kasema yeye anawakumbuka hao ndo size yake sisi wakongwe ya kwetu hayawezi au sio ndugu?Heheee! Sawa ila kwangu hao ni wajuzi juzi tu,asante kwa mchango wako.