Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,095
- 2,429
- Thread starter
- #21
Miaka hiyo watu tunabet team yangu ikifungwa nakupa mke wangu alale kwako siku mbili nami nikishinda unanipa mkeo.
Au unakuta mwenye nyumba anasema simba au yanga ikifungwa kodi miezi sita hulipi. Hapo mpangaji anaombea ile mbaya timu husika ifungwe ....
Miaka hiyo mtu anahama mji week nzima. Na refa akichezesha vibaya anaondoka chini ya ulinzi mkal wa FFU NA HAPELEKW KWAKE MPAKA WEEK 2 ZIPITE
Au unakuta mwenye nyumba anasema simba au yanga ikifungwa kodi miezi sita hulipi. Hapo mpangaji anaombea ile mbaya timu husika ifungwe ....
Miaka hiyo mtu anahama mji week nzima. Na refa akichezesha vibaya anaondoka chini ya ulinzi mkal wa FFU NA HAPELEKW KWAKE MPAKA WEEK 2 ZIPITE