Mlitika
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 457
- 260
Wadau tuliokuwa shule enzi hizo mambo ya UMISETA yalikuwa na msisimko wake. Unakumbuka nini enzi hizo:
MPIRA WA MIGUU
Michuano ya watani wa jadi:
Mkwawa vs Tosa; Mazengo vs Dom Sec; Uyui vs Mihayo; Tbr Boys vs Milambo; Pamba vs Nsumba, etc
MASHINDANO MENGINE
Riadha, nyimbo, kurusha mkuki, .........
VITUKO VYA WANAFUNZI
Ugonvi, Ubakaji, kuiba misosi, kupiga waamizi
Na mengineyo kama waalimu wanoko, matukio ya ajali na vifo, na matukio mengune mengi.
NAPULIZA KIPENGA!
MPIRA WA MIGUU
Michuano ya watani wa jadi:
Mkwawa vs Tosa; Mazengo vs Dom Sec; Uyui vs Mihayo; Tbr Boys vs Milambo; Pamba vs Nsumba, etc
MASHINDANO MENGINE
Riadha, nyimbo, kurusha mkuki, .........
VITUKO VYA WANAFUNZI
Ugonvi, Ubakaji, kuiba misosi, kupiga waamizi
Na mengineyo kama waalimu wanoko, matukio ya ajali na vifo, na matukio mengune mengi.
NAPULIZA KIPENGA!