Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Mie namkumbuka Kim&Boyz kwenye Yo Rap Bonanza,pia nakumbuka Tulipokua tunaenda kuchukua watoto magoti.
...kuchukua watoto magoti??! au unamaanisha kununua vyangudoa??!! :confused2:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie namkumbuka Kim&Boyz kwenye Yo Rap Bonanza,pia nakumbuka Tulipokua tunaenda kuchukua watoto magoti.
Lol! Kumbe mtoto wa nyoka weye manake unajua miziki kama mzazio!
Tatizo la dj wa bure koo linakuwa kama lina turbo, unameza vimiminika tu! Ntakufikiria lakini best, besdei yangu basi.
Mie nitazuka kwenye besdei yako Best, nifahamishe kiwanja cha kujirusha na wakati muafaka. Vimiminika usiwe na wasiwasi navyo Itakuwa ni aste aste ...ila msuba siku hiyo ucheze nao mbali LOL!
Safi sana mkuu.....Unakumbuka ma -dj wakali enzi hizo.... 1.dj jerry koto 2.dj young millionea 3.dj chriss fabi (the lover) 4.dj deo zullu 5.dj kali kali 6.dj mangapiii 7.dj ali koko endelea tupia hapa ma-dj wa zamani.....