Motel Agip, Twiga, Hotel Africana, Rungwe Oceanic, Maggot, Silent Inn, White House,
Ha haaaa aisee silent in kulikuwa na Friday facult maalum kwa ma-dent wa vyuo ilikuwa si mchezo tunakusanywa na DCM moja kutoka vyuoni kwenda maeneo ya mwenge ilipkuwa silent Inn! Gud days hz jamani duh!