Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
1) UBUNGO - Mgombea Hawa Ng'umbi alikuwa hakubaliki kwa wananchi.
2) Iringa (M) - Monika Mbega alikuwa hakubaliki kwa wananchi baada ya kumwengua Mwakalebela kwa kashfa ya rushwa.
3) Ilemela - Vita ya kuchafuana kati yake na Masha iliyohusisha matumizi ya fedha ilimponza.
4) Nyamagana - Masha kutokana na dharau kwa wananchi na matumizi ya fedha.
5) Musoma (M) - Vedastus Mathayo aliponzwa na fujo za majivuno ya fedha toka kwa ndugu zake hivyo kutokubalika.
6) Mbeya (M) - B.Mpesya alikuwa hakubaliki kwa wananchi kutokana na kashfa mbalimbali.
7) Kawe - Mgombea Mama Kizigha alikuwa hakubaliki kwa wananchi.
Unaweza kuongeza majimbo liliyoyaacha. Chama cha mapinduzi walitambua kuwa baadhi ya wagombea wao walikuwa hawakubaliki katika majimbo hayo lakini walipuuza au kulazimika kuwasimamisha kutokana na rushwa ndani ya chama hicho. Hali hii imejirudia huko Arumeru ambako wasipoangalia Jimbo hilo pia linaweza kuangukia mikononi mwa wapinzani.
2) Iringa (M) - Monika Mbega alikuwa hakubaliki kwa wananchi baada ya kumwengua Mwakalebela kwa kashfa ya rushwa.
3) Ilemela - Vita ya kuchafuana kati yake na Masha iliyohusisha matumizi ya fedha ilimponza.
4) Nyamagana - Masha kutokana na dharau kwa wananchi na matumizi ya fedha.
5) Musoma (M) - Vedastus Mathayo aliponzwa na fujo za majivuno ya fedha toka kwa ndugu zake hivyo kutokubalika.
6) Mbeya (M) - B.Mpesya alikuwa hakubaliki kwa wananchi kutokana na kashfa mbalimbali.
7) Kawe - Mgombea Mama Kizigha alikuwa hakubaliki kwa wananchi.
Unaweza kuongeza majimbo liliyoyaacha. Chama cha mapinduzi walitambua kuwa baadhi ya wagombea wao walikuwa hawakubaliki katika majimbo hayo lakini walipuuza au kulazimika kuwasimamisha kutokana na rushwa ndani ya chama hicho. Hali hii imejirudia huko Arumeru ambako wasipoangalia Jimbo hilo pia linaweza kuangukia mikononi mwa wapinzani.