putinelimusu
Senior Member
- Aug 26, 2016
- 180
- 167
hawa watu hawamjui zidane hawa.Huyo Boateng angecheza na Zidane angemsifia zaidi hata ya Gaucho
hawa watu hawamjui zidane hawa.Huyo Boateng angecheza na Zidane angemsifia zaidi hata ya Gaucho
hawa watu zidane wamepata kuiona shughuli yake vzr?A best footballer he ever played with... Sawa
Lakin hao wengine hajacheza nao si maradona,wala pele... Hata zidane tu nna hofu hajacheza nae..
Japo namuheshim gaucho
wafahamishe mkuuAcha uongo kaka au rudi kachek kumbukumbu zako upya.
Ni kwamba,world cup ya kwanza kwa Ashley Cole ni ya mwaka 2006 kule ujeruman ambako England ilitolewa na Portugal, kumbuka ugomvi wa Rooney na Ronaldo.
Halafu world cup ya kwanza kwa Gaucho ni ya mwaka 2002 pale Japan,
kumbuka ugomvi wa Scolari na mashabiki kule Brazil, mashabiki wanataka Romario na Edmundo waitwe lkn Scolari akasema "hao watu wenu siwaiti na nisiporudi na kombe basi niuawe" nafikiri mnakumbuka zile 4 R zilivyofanya mambo,
Ronaldo de Lima,Rivaldo,Robarto Carlos na Ronaldinho from Gaucho walikuwa on fire.
Fainali ujerumani anakufa 2-0
Ronaldinho was more of an artist than a footballer so you can't him with footballers like PeleGaucho ni best skillfully player, not the best footballer. Even Messi n Ronaldo are better than him
Ashley cole world cup 1994??...alikuwa timu gan mazee..Mkitaka ushuhuda mwengine unaofanana na wa Jerome mtafuteni Ashley Cole juu ya madhira aliyokumbana nayo wakati wa World Cup 1994 quater final, alitenguliwa nyonga hakurudi tena uwanjani. Mpira ulikuwa ukimuona Gaucho ulikuwa unamtii kama vile Mbwa amwonapo chatu.
Aliwapa la liga...champions league...final ilikuwa dhid ya arsenal...kocha alikuwa rijkaard....muwe mnadata kabla ya kuropoka...sasa ilikuwe akashindwa ipa Barcelona japo kombe la mfalme mara moja
MAANA MPIRA WAMTII
Sio gaucho tuu...hata Ashley cole...sijui walikuwa timu zip??Hiv Gaucho alicheza world cup 1994 ??
Nlikuwa cjui aisee
Huwez mtoa dinho... Kwenye listhawa watu hawamjui zidane hawa.
Gaucho hakuwepo WC1994Mkitaka ushuhuda mwengine unaofanana na wa Jerome mtafuteni Ashley Cole juu ya madhira aliyokumbana nayo wakati wa World Cup 1994 quater final, alitenguliwa nyonga hakurudi tena uwanjani. Mpira ulikuwa ukimuona Gaucho ulikuwa unamtii kama vile Mbwa amwonapo chatu.
World Cup 94... Ashley Cole hakuwepo wala Dinho hakuwepo... Kasome notsi zako upyaMkitaka ushuhuda mwengine unaofanana na wa Jerome mtafuteni Ashley Cole juu ya madhira aliyokumbana nayo wakati wa World Cup 1994 quater final, alitenguliwa nyonga hakurudi tena uwanjani. Mpira ulikuwa ukimuona Gaucho ulikuwa unamtii kama vile Mbwa amwonapo chatu.