Unakubaliana na Boateng kuhusu Ronaldinho?

Acha uongo kaka au rudi kachek kumbukumbu zako upya.
Ni kwamba,world cup ya kwanza kwa Ashley Cole ni ya mwaka 2006 kule ujeruman ambako England ilitolewa na Portugal, kumbuka ugomvi wa Rooney na Ronaldo.

Halafu world cup ya kwanza kwa Gaucho ni ya mwaka 2002 pale Japan,

kumbuka ugomvi wa Scolari na mashabiki kule Brazil, mashabiki wanataka Romario na Edmundo waitwe lkn Scolari akasema "hao watu wenu siwaiti na nisiporudi na kombe basi niuawe" nafikiri mnakumbuka zile 4 R zilivyofanya mambo,

Ronaldo de Lima,Rivaldo,Robarto Carlos na Ronaldinho from Gaucho walikuwa on fire.

Fainali ujerumani anakufa 2-0
wafahamishe mkuu
 
Huyo Gaucho toka aifunge Chelsea goal huku anakata kiuno sina hamu nae.!
 
Mkitaka ushuhuda mwengine unaofanana na wa Jerome mtafuteni Ashley Cole juu ya madhira aliyokumbana nayo wakati wa World Cup 1994 quater final, alitenguliwa nyonga hakurudi tena uwanjani. Mpira ulikuwa ukimuona Gaucho ulikuwa unamtii kama vile Mbwa amwonapo chatu.
Ashley cole world cup 1994??...alikuwa timu gan mazee..
 
Jana nilikuwa safari aisee kwenye basi tulikuwa na ubishani sana kuhusu huyu kiumbe anaitwa Gaucho..... Huyu kiumbe hatari sana wengi tuliokuwa tunabisha walikuwa upande wa Gaucho.....
 
Kweli gaucho ni noma sana na mpira wake ni mzuri sana but kiukweli kwa zidane bado
 
Hahaaaa hyo ni yake,,mi ngoja niendelee kushuudia maajabu ya king messi kwa vile vijiji anavyokusanya,playstation game player
 
Hiyo ni kauli yake binafsi na sio fifa,makocha, na wadau kote duniani, na hiyo ni kutokana na wao kukutana tim moja huko italy/ Milan....licha yakuwanae tim moja lkn hakupaswa kuongea uongo au kutaka sifa kwake, na badala yake alipaswa aongee ukweli, na kuwapa heshima wachezaji hao, bila kumsahau Alfredo de stefano.


-Vile vile sio hao tu. bado kuna akina;

  • Requelme,
  • redondo,
  • Cr7
  • cannigia
  • iniesta,
  • Aguero
  • De lima.....gaucho bado sana kuwafikia mafundi hawa,na wengine wengi tu siwezi kuwamaliza!


-PlayerZ ambao wakuwaweka meza moja na Gaucho ni;

  • Pablo César Aimar
  • batistuta,
  • okocha,
  • oriel ortega,
  • ibrahimovic,
  • de maria,
  • neimar,
  • xavi
  • SuareZ, na wengine wengi tu!


Boateng awatake radhi hao wachezaji, na aache kuropoka!
 
Mkitaka ushuhuda mwengine unaofanana na wa Jerome mtafuteni Ashley Cole juu ya madhira aliyokumbana nayo wakati wa World Cup 1994 quater final, alitenguliwa nyonga hakurudi tena uwanjani. Mpira ulikuwa ukimuona Gaucho ulikuwa unamtii kama vile Mbwa amwonapo chatu.
Gaucho hakuwepo WC1994
 

Attachments

  • IMG_20161025_034554.JPG
    IMG_20161025_034554.JPG
    16.5 KB · Views: 24
Mkitaka ushuhuda mwengine unaofanana na wa Jerome mtafuteni Ashley Cole juu ya madhira aliyokumbana nayo wakati wa World Cup 1994 quater final, alitenguliwa nyonga hakurudi tena uwanjani. Mpira ulikuwa ukimuona Gaucho ulikuwa unamtii kama vile Mbwa amwonapo chatu.
World Cup 94... Ashley Cole hakuwepo wala Dinho hakuwepo... Kasome notsi zako upya
 
Back
Top Bottom