The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Wana JF mara nyingi katika jamii tunamoishi tumeshuhudia ama kuhadithiwa na wakati mwingine kuona Mwanandoa fulani anaisaliti ndoa yake, unapochunguza upande wa pili unamkuta mtu huyohuyo ana mke au mume mwaminifu kabisa;
Na binamu yangu mmoja yeye ameoa kama miaka minne nyuma lakini jamaa ni malaya mbwa, nyumbani ana mke mzuri mwenye staha, na mwenye kujiheshimu sana, lakini mumewe ndo ivo tena, jamaa mtaani ana watoto zaidi ya nane sasa,
Mdogo wake alimuiga kaka mtu matokeo yake akapita kusipo, katembea na vibinti karibu vyote mtaani, hapo alipo afya imeshaanza kudhoofu na mbaya zaidi kaka yake nae katembea na baadhi ya hao mabinti.
Tuamini kuwa hakuna aliyezaliwa akijua, hivyo kila mtu hufunzwa, kama unahisi mwenzako hakuridhishi mfunze, mwelekeze, tuache uzinzi kwani mwisho wake ni kuugua na hata kuwaambukiza wasio na hatia
Kumbuka ukishaupata ndo niwako tena hutapona, utakuwa ni maiti inayotembea, hutakuwa na furaha na hata hao unaoshiriki nao watakukimbia.
Na binamu yangu mmoja yeye ameoa kama miaka minne nyuma lakini jamaa ni malaya mbwa, nyumbani ana mke mzuri mwenye staha, na mwenye kujiheshimu sana, lakini mumewe ndo ivo tena, jamaa mtaani ana watoto zaidi ya nane sasa,
Mdogo wake alimuiga kaka mtu matokeo yake akapita kusipo, katembea na vibinti karibu vyote mtaani, hapo alipo afya imeshaanza kudhoofu na mbaya zaidi kaka yake nae katembea na baadhi ya hao mabinti.
Tuamini kuwa hakuna aliyezaliwa akijua, hivyo kila mtu hufunzwa, kama unahisi mwenzako hakuridhishi mfunze, mwelekeze, tuache uzinzi kwani mwisho wake ni kuugua na hata kuwaambukiza wasio na hatia
Kumbuka ukishaupata ndo niwako tena hutapona, utakuwa ni maiti inayotembea, hutakuwa na furaha na hata hao unaoshiriki nao watakukimbia.