Unakaribishwa mkutano wa kwanza wa wananchi juu ya Katiba; Kimara Resort- 11/12/2010

What about you?
About what?

Jibaba Bonge;1339169] What is your stand?
Anything that will make Tanzania better, ANYTHING healthy for my country!

Are you among the people who do not like the idea?
Why then would I bother to tell you about anything then?

Wy scaring others?
That is the truth, I don't roam around the bush. I always tell it as it is!


Can you be a frontliner with this type of comments?
hahaha! Do frontliners ignore security of fighters? Do you need military training? Security for masterminds is always a priority or a war will never last longer!


If Nyerere had this kind of thinking we would'nt be independent today.
This is different kind of situation!

Friends, let us not make fool's paradise. People who don't like the idea will try as much as they can to stop it. So I urge you again be careful when you do such move. It is not that easy and one mistake can have great cost.

All the best!
 
Na moto wake, ningependekeza CSOs zote zifanye mjadala wa katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, na sheria ya uhuru wa habari kuwa vipaumbele vyao 2011 ili kukoleza moto huu zaidi. It is now or never
 
Tuisome kwa makini KATIBA ya sasa. Tuwe nayo kwenye kikao hiki. Tuondoe woga katika mjadala huu. Tuepuke kujadili watu au vyama vya siasa. Tuondoe chuki, husda, fitna, maneno ya mkosaji, na mambo yanayofanana na hayo.
 
...meet you there! i suggest kuwe na copy za katiba katika print-out rahisi na si zile za vitabu hard-bound.
 
Back
Top Bottom