Unakaribishwa Miaka 50 ya Peace Corps Washington DC: Mgeni Rasmi Kikwete

Kazi ya balozi wetu huko Marekani ni nini kama si kwenda kwenye minuso ya aina hiyo ya ugeni-rasmi Washington DC??? Mambo mengine bana ...!!!

Heshima mbele sana Mkuu wangu Jasusi.

Mkuu hivi chuki zako binafsi kwa mkuu zitaisha lini? Hapa kiongozi anatekeleza kazi zake kama kiongozi wa inchi, tumwache kiongozi afanye kazi yake.

Mkuu nakushauri 2015 urudi Tanzania ukachukue form na wewe ugombee urais, umri unazidi kusogea.
 

My Take:-
Ni heshima kubwa kwa Taifa letu changa na Rais wetu kuheshimiwa na kupewa fursa hii.

Just visited their site Peace Corps 50th Anniversary Events | 50th Anniversary Events | 50th Anniversary | About Us | Peace Corps, and did not see anything like an opening ceremony!!! Wondering the authenticity of the whole issue here, it "may" be true here of gate crashing to an event eh!!
How come a president visiting a country on a very important 'mission' not meeting his/her counterpart?............Just curious.
 
Coolhigh, uko makini aise. Usijekuta hata wenyeji hawana habari na ugeni wa Mheshimiwa huko DC.

Just visited their site Peace Corps 50th Anniversary Events | 50th Anniversary Events | 50th Anniversary | About Us | Peace Corps, and did not see anything like an opening ceremony!!!

Wondering the authenticity of the whole issue here, it "may" be true here of gate crashing to an event eh!! How come a president visiting a country on a very important 'mission' not meeting his/her counterpart?............Just curious.
 
Heshima mbele sana Mkuu wangu Jasusi.

Mkuu hivi chuki zako binafsi kwa mkuu zitaisha lini? Hapa kiongozi anatekeleza kazi zake kama kiongozi wa inchi, tumwache kiongozi afanye kazi yake.

Mkuu nakushauri 2015 urudi Tanzania ukachukue form na wewe ugombee urais, umri unazidi kusogea.
Huyu siyo kiongozi wa nchi, labda ni kiongozi wako wewe na familia yako. Angekuwa kiongozi wa nchi, matatizo ya wananchi wake na umasikini wao angekuwa anaupa kipaumbele.
 
Unajuwa wazungu wanaona mbali sana, wapo mazuzu wanaodhani mialiko ya kipuuzi kama hiyo ni heshima, wakumbuke kwamba kama hiyo mialiko ingekuwa ni heshima basi Rais kama Jacob Zuma ndio angekuwa anaalikwa, lakini kwa sababu Wamarekani hawana cha kuvuna South Africa ndio maana huwa hawana mpango na marais wenye misimamo kama ya kina Zuma.

Lakini huyu wa kwetu anaeuza Kigamboni nzima pamoja na Uranium yetu halafu yeye anapewa chandaruwa za futi 3 huku akijuwa Watanzania wanatumia vitanda vya futi 6 kwa 6 sita, sijapata jina la kumuita.
 
<font size="3"><font color="#0000cd"><b>Heshima mbele sana Mkuu wangu Jasusi.<br />
<br />
Mkuu hivi chuki zako binafsi kwa mkuu zitaisha lini? Hapa kiongozi anatekeleza kazi zake kama kiongozi wa inchi, tumwache kiongozi afanye kazi yake.<br />
<br />
Mkuu nakushauri 2015 urudi Tanzania ukachukue form na wewe ugombee urais, umri unazidi kusogea.</b></font></font>
ukisikia hovyo dot com ndiyo hii.
Akiacha kununuliwa bukta ndo ataachwa kuandamwa.
 
Peace Corp, ni NGO ya Kimarekani yenye Makao Makuu yake kwa hapa Tanzania, pale Zambia Road. Ni ofisi tu ya kawaida ambapo nje kunakibao kimeandikwa "KARIBU SANA". Ni taasisi ambayo inadai kwamba inashughulika na Misaada ya Kibinaadamu na ndio kupitia taasisi hiyo waliomsaidia JK kupata msaada wa Net za Mbu.
Hawa Watu shughuli zao kwa hapa Tanzania zina usiri mkubwa sana, japo wamejificha kwenye kivuli cha kutoa misaada. Ndio maana hata kumwalika JK katika shughuli yao huko si jambo la ajabu sana na huenda nao wakamwongezea suti 5 nyingine.
 

My take:

Inaonekana rais ameamua kwenda Washington mapema kuwakwepa Watanzania waliokuwa wamepanga maandamano September 23 wakati alipotarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa DICOTA.

leo kaelekea Nairobi

sijui kakwepa lipi litakalotokea
 
KWANI WASHINGTON HAkuna mabembea kama yale ya Jamaica, mkuu wetu bana , anapendaga akimaliza vikao kama hivi aende pahala kupumzika.
 
Hivi USA kasahau nini manake haipiti miezi sita,afu kwanini hapati audience na Obama tangu ile ya "Rais wa Kwanza toka Afrika kumtembelea Obama" angalau apigiwe tumizinga, ni lini wasaidizi wake watamweleza ukweli kwamba kwenda USA kila mara tena kwenye vijitamasha vidogovidogo ni kujichoresha? Au mambo ya perdiem..
 
September 8, 2011

I cordially invite you to join us for a very special Peace Corps 50th anniversary event to be held in Shriver Hall at Peace Corps headquarters in Washington, D.C., on Tuesday, September 13, at 10:30 a.m. Please arrive by 10:15 a.m. to ensure a quick security screening.

We are honored to have His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania, as our guest speaker. As part of the agency's Loret Miller Ruppe Speaker Series, President Kikwete will be addressing the subject of the strong relationship that exists between our two countries and, in particular, the 50-year relationship between the Tanzanian people and the Peace Corps.

RSVP to Ms. Claudia Calderon, my special assistant, at (202) 692-2109 or ccalderon@peacecorps.gov, and to Kelly Daly, Desk Officer for Tanzania, at 202-692-2366 or kdaly@peacecorps.gov.

I certainly hope that you will be able to join us for this special event.

Sincerely,

Aaron S. Williams
Director

Wajinga ndio waliwao, hao peace corps wamekuwa wakileta mashushu wa kiamerica hapa Tanzania hadi vijijini na serikali yetu imelala wala haizinduki!
 
Nchi imeoza, tena inanuka, maisha magumu, uchumi umedorola, mfumuko wa bei ndiyo huoooooo!! yeye kiguu na njia. ndiyo maana kina Jairo & Luhanjo wanaamua kufanya lolote walitakalo maana nchi inaendeshwa kiholela. kazi ipo kweli kweli.
 
<span style="font-family: fixedsys">Ivi zile hotuba zake za kila mwisho wa mwezi zimeishia wapi???</span>
<br />
<br />
Mkuu umeshasahau hotuba ya Kadhi Dodoma? Basi ile ilikuwa hotuba ya mwisho wa mwezi! Nyingine ataitoa tena December!
 
Hahahaha kama kawaida yake nje 2 mtu kama una sherehe ya kuzaliwa kama upo usa ukimualika lazima atie maguuu
 
Back
Top Bottom