Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,212
- 78,137
hahahahaaaa...ngoja nakuja!
Nakusubiri
hahahahaaaa...ngoja nakuja!
na mm mtu akijua ni male au female ..nampa zawadi
Judge unajua kukazana eeeh?
Tena ule ukazanaji "old skull " sio huu wa Fcbk na Dot.com ! Sie wakongwe kwenye miradi bwana !
Unaweza ukaniacha Dar ndo nauanza mradi, ukaenda Moro, ukarudi ukanikuta bado niko JUU ya mradi .
Hebu sanua (tangaza) huo m'jifti tuusikie wajasiri wa mali , zawadi za Ubuyu, Biscut , na vinavyofanana na hivyo situmii , nataka zawadi isiyokwisha kama Isidingo.
lo lo...kweli asee...
nyie wazamani mnajua kujituma...
na miradi yenu ilikua ya uhakika bana...
siku hizi mradi mmoja wadau mia...hata kukazana unashindwa...
unabahatisha au unahakika?
Amy hujambo mama?Nikibahatisha au nikiwa na hakika it doesnt matter. Swali ni kwamba nimepatia au nimekosea?
napenda sana maziwa,ila inategemea maziwa yanatopooza kiu na kuleta afya?ningependekeza pia ufugaji wa ngombe wa kisasa na wa kienyeji. (Dairy farming)
unapenda maziwa?
Nilitaka kufahamishwa na wanajamvi wenzagu,je utajuaje huyu member ni me au ke?
Sidhani kama niko sahihi lakini hahisi kimojawapo ni upangiliaji wa maneno kwenye comment.
Siamini kabisa kuwa member mwenye jina la jesca kuwa ni lazima awe mwanamke and viservesa.
Hayo ni maoni yangu hebu nipe tips zako
Bagah......waweza kujua mie ni jinsia gani??