kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,824
Miaka ya nyuma kidogo niliwahi kuwa na uhusiano na binti mmoja,alikuwa na miaka 20,alikuwa mnene kidogo,..tatizo lilikuwa yaani kwa uzoefu wangu wa kipindi hicho na mpaka sasa siwezi kujua kwa uhakika kama yule msichana alikuwa na mtoto ama hakuwa naye,..wadau naomba mnipe uzoefu wenu kwenye hili especialy kama vigezo vyangu vya matiti na tumbo la huyo mwanamke vilifeli kabisa kunipa ukweli.