Unajua kwanini wanaume wa Tanzania wanakufa upesi?

my name is my name

JF-Expert Member
Jan 12, 2015
2,017
2,384
Wanaume wa kizungu wakapata jambo la kusikitisha wanalia hawaogopi kuonyesha hisia zao kwenye watu wengi wanalia. Wanajua kulia ni dawa.

Wanaume wa Tanzania hawalii wanaogopa kuonekana sio wanaume wanakufa mapema wanakomaa sura sababu wanarundka magonjwa mwilini.

Ukipata nafasi we lia usone aibu hiyo ndo afya yako, kulia ni afya mwanamme.
 
wanamme wa kzungu wakpata jambo la kusikitsha wanalia hwaogop kuonyesha hisia zao kwny watu wngi wanalia. wanajua kulia n dawa. wanamme wa tanzania awalii wanaogopa kuonekana sio wanamme. wanakufa mapema wanakomaa sura coz wanarundka magonjwa mwilin. ukpata nafas we lia usone aibu hyo ndo afya yko. kulia n afya mwanamme aklia anapendeza

Hizo ni hisia zako tu au....?
 
kivipi itakuwa salama..?
huyu anaongea kwa mihemko yake, sijui kapigwa mimba akatemwa, anakuja kuwaombea mabaya wanaume wote hapa duniani
haya sasa wanawake wakiachiwa hii dunia wataiendeshaje? wamegundua vingapi vya maana vilivyoleta mabadiliko duniani?
zaeni mtulie na watoto nyumbani, mpike na chakula
ya dunia tuachieni wanaume
 
huyu anaongea kwa mihemko yake, sijui kapigwa mimba akatemwa, anakuja kuwaombea mabaya wanaume wote hapa duniani
haya sasa wanawake wakiachiwa hii dunia wataiendeshaje? wamegundua vingapi vya maana vilivyoleta mabadiliko duniani?
zaeni mtulie na watoto nyumbani, mpike na chakula
ya dunia tuachieni wanaume


Maneno mawili povu hiloooo....Jf ukiishi kwa hisia utaona kila mtu anajanga tu kama ulivyonayo wewe
 
wanamme wa kzungu wakpata jambo la kusikitsha wanalia hwaogop kuonyesha hisia zao kwny watu wngi wanalia. wanajua kulia n dawa. wanamme wa tanzania awalii wanaogopa kuonekana sio wanamme. wanakufa mapema wanakomaa sura coz wanarundka magonjwa mwilin. ukpata nafas we lia usone aibu hyo ndo afya yko. kulia n afya mwanamme aklia anapendeza
UPEC ndio nini?
 
Maneno mawili povu hiloooo....Jf ukiishi kwa hisia utaona kila mtu anajanga tu kama ulivyonayo wewe
nope, mimi nimeandika nime relax ndio maana nikaandika maneno mengi, na naandika tena mengi
ila wewe sijui kama upo serious au unatania kama upo serious unahitaji psychological therapy
 
Back
Top Bottom