Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,223
unampa mistari dume mwenzako?washawasha umenivutia hata kabla sijakuona nipe nafasi moyoni mwako nikuoe uwe mama wa watoto wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unampa mistari dume mwenzako?washawasha umenivutia hata kabla sijakuona nipe nafasi moyoni mwako nikuoe uwe mama wa watoto wangu
Nirikupenda toka kure barabarani...
we ritoto roho yangu irikupendaga sana ira we unaringa kwerihahah rimoyo rangu rimekudondokea tangu zamani....
Naona baba kapata mama na mama kapata baba!hahah rimoyo rangu rimekudondokea tangu zamani....
ya kwangu.
Kaka ulie na avatar ya head4ns nakupenda sina raha ju yako.
Smile anabana tu lakini mapenzi yangu yako kwako.
mm nilkua na mana watu wamwage mistari lkn sio kwang
Aiseeee, . . .
Mshindi atazawadiwa?
hahahaaaa...we umesuka wig..Mpoleeee Nipe nafasi Nikulee!!
washawasha umenivutia hata kabla sijakuona nipe nafasi moyoni mwako nikuoe uwe mama wa watoto wangu
ama kweli ni ngumu sana kuukumbatia mbuyu.
Bora kuuzunguka
Nirikupenda toka kure barabarani...
Kongosho I do Love this statement!!
akina rrrrr, wana mistari hii
1. Rara nikurare
2. Rara nikurenge
3. Uchue mi panga rangu rinataka kukuchoma
mmwagie yule jamaa leo
kila siku unaniuliza utapata wapi nafasi ya kutoa dukuduku lako.
Akaa!!
Mwanzisha mada mwenyewe kaanzisha kwa malengo, sitaki kumharibia.Sijui anaogopa PM.