Unajua kazi yake

IrDA

JF-Expert Member
Aug 26, 2010
743
350
Mume flani alichoka kulala peke yake baada ya mke wake kusafiri kwa muda wa miezi mitano.

Aliposhindwa kabisa kuvumilia akaanza kum'mezea mate housegal wake.

Siku moja akaaingia chumbani mwake,akavua nguo zote na kujilaza kitandani,kisha akamuita housegal.

Housegal alipofika akapata boss wake amejilaza kitandani uchi kama alivyozaliwa.

Boss akamuuliza,"Wajua kazi ya hii? {huku ameshikilia uume
wake}
Housegal akajibu,"Ndio boss."
Boss akamwambia ,"Haya nioneshe."

Housegal akasonga pole pole hadi mbele ya boss;akapiga magoti,akashika uume wake kwa mikono miwili,akafungua mdomo na kusema,"Kwa majina naitwa Irene Nanjala nina miaka 19,na ningependa kutuma salaam kwa baba na mama wakiwa kule kakamega...ujumbe ni kuwa sijawatumiako pesa kwa sababu boss alisafiri,pia ningependa kutuma salaam kwa boyfriend wangu Wafula akiwa Bungoma polytecnic College...ujumbe ni kuwa nam'miss tu sana,na pia naomba uwachezee wimbo wa P square Chop my Money."

Alipomaliza kuongea akasimama na kusema,"Boss asante kwa microphone yako!"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom