Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 292
we mwanaume umekutana na mwanamke ukampenda, ilivomwambia akakujibu kuwa ana mtu, siku zimepita kidogo akaja kuvutiwa na ww pia hivyo akakukubal. mapenz yenu yamenoga sana mpaka msichana akataka kumuacha mpenz wake wa mwanzo.kabla hajatimiza azma yake ya kumwambia mpenz wake wa zaman waachane huyo mpenz wake kamwambia kuwa anataka kwenda kwao na huyo msichana wako kujitambulisha ili amuoe, alivyokueleza ulichanganyikiwa na yeye alichanganyikiwa sasa hujui umshaul nn huyo msicha wako , kwamba umuache au umwabie aachana nahuyo jamaa. yeye anaogopa kumuacha huyo jamaa kipindi hiki sababu anamuonea huruma, je ukiwa ww utafanyaje?