chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Mtu anafahamu kabisa,huyu demu alikuwa wa rafiki yangu,tena ukute watu kibao wanajua,na wewe kwa ajili ya kutokuwa na gal,akiachwa kidogo tu unajipelekesha..huwezi kutafuta wako,mpaka ijulikane mmeshare huyo gal..Acheni hizo wanaume.