Unajua historia ya bendera ya taifa lako tangu 1885?

attachment.php
attachment.php
9k=
images
Z

The colours of the flag have been specified by the Planning and Privatisation department of the President’s Office of Tanzania.
SchemeBlackBlueGreenGold
British Standard 2660 of 19559-1030-0120-0100-002
Flag of Tanzania - Wikipedia, the free encyclopedia kalikumtima jackson mm sioni kosa kubwa la tofauti ya izo bendera na hiyo ya kufoji labda ni vipimo vya hiyo rangi ya Gold/Yellow imezidi kidogo lakini rangi ni njano
km kuna tatizo bora na sisi tulijue maana huenda ni bendera za barabarani na zile za kushika mikononi tofauti na zile zinazouzwa kiSerikali
 
Last edited by a moderator:
Ujio wa Rais wa Marekani unaweza kubaki kuwa ni kumbukumbu kubwa kwetu kama nilichokiona jana, yaani kubadilika kwa muonekano wa Bendera ya Taifa; kutakuwa kumesababishwa na ujio wa Rais Barack Obama!!

Barabara ya Julius Nyerere inayotoka Uwanja wa Ndege atakapopita Rais huyo kumepambwa bendera zinazofanana fanana na Baendera yetu ya Taifa la Tanzania niliyoizoea.

Naomba Watalaam wa mambo ya uraia na wazalendo wa nchi hii, mnijulishe kilichotokea mpaka bendera ikibadilishwa au ni kitu gani kinacho sababisha bendera ibadilishwe!

Naomba mnijuze ni chombo gani chenye mamlaka ya kubadilisha bendera ya taifa na hatua zipi zinazofuatwa mpaka Bendera ikabadilishwa!

Nilicho kiona kwenye bendera ya sasa ni kuufanya mchirizi mweusi unaokatiza kutoka ncha moja kwenda nyingine kufanywa mkubwa sana na kuifanya rangi hiyo kuwa dorminant kwenye bendera yetu, kinyume na Bendera ya zamani.

Siku zote huwa naamini kuwa Bendera ya Taifa ni tunu na Alama yetu ambayo ina vipimo halisi na haiwezi kuwa inachezewa chezewa!

Kama kuna mtu alipewa tenda ya kutengeneza bendera za Taifa kwa ajili ya ujio wa Obama na badala yake akatuletea bendera iliyobadilishwa bila kufuata utaratibu wa kubadilisha Bendera ya Taifa; Naomba asilipwe na achukuliwe hatua za kisheria na kinidhamu.

Maskauti wa Nchi wa sasa, mnaona kama mambo yako sawa na bendera yetu?
weka picha ya hiyo bendera iliyobadilika
 
Tatizo ni 'kupeana na tender ki undugu??". Ninachojua, bendera au logo yoyote ile ina "rangi" na "ukubwa" wa kutoka rangi moja hadi nyingine kwa kufuata ulaamu wa "code" Color Codes and "measurements- distance between". Inaonekana huyu aliye chapa hii makitu hana ujuzi huo au ndo mambo yetu yale!
 
Jamani,

Mtengeneza bendera hajakosea hata kidogo. Sheria ya bendera yetu inaitwa {National Flag and Coat of Arms Act, 1971}. Ukiitaka isome kwenye link hii.

Ukishamaliza kuisoma utaona kwamba tulijikita na mazoea tu ya kudhani tulivyozoea kuiona ndivyo kisheria, lakini ukweli ni kwamba hakuna vipimo vya urefu kwa rangi fulani maadamu tu bendera iwe diagonally imegawanywa nusu kwa nusu.
 
Tatizo wengi wetu tunasahau lengo la ujio wa Obama.
Rangi ya njano inaonyesha madini na maliasi zilizopo aridhini,
hivyo kukoleza njano ni kumdhihirishia kua Mali zipo atachuma tu.!!
 
Jamani,

Mtengeneza bendera hajakosea hata kidogo. Sheria ya bendera yetu inaitwa {National Flag and Coat of Arms Act, 1971}. Ukiitaka isome kwenye link hii.

Ukishamaliza kuisoma utaona kwamba tulijikita na mazoea tu ya kudhani tulivyozoea kuiona ndivyo kisheria, lakini ukweli ni kwamba hakuna vipimo vya urefu kwa rangi fulani maadamu tu bendera iwe diagonally imegawanywa nusu kwa nusu.

Nakushukuru sana kwa darasa lako ila nadhani kuna mahala kuna kosa! kwa nini kusiwepo na vipimo? Nadhani wakati act hiyo inapitishwa msamiati wa 'kuchakachua' ulikuwa bado kuanzishwa!
 
Habarini wadau, nina kaswali kamoja tu hapa, hivi kwa nini bendera ya taifa hupandishwa kila siku saa kumi na mbili asubuhi na kushushwa saa kumi na mbili jioni?
 
Hii ni bendera wakati tuko chini ya Wajerumani 1885-1919

Flag of Deutsch-Ostafrika (1885-1919)



Hii ni wakati tuko chini ya Mwingereza 1919-1961

Flag of Tanganyika (1919-1961)




Hii ni wakati tulipopata uhuru 1961-1964

Flag of the Republic of Tanganyika 1962–64




Hii ni bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania toka 1964-..........



Una maoni gani kuhusu bendera hizi je zinagusa au kuchangia sehemu yeyote ya maisha yako au unawezaishi bila hata kujua ama kutambua bendera yako ikoje kifupi hazisaidii
Mbona bendera ya Jamhuri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar siioni?
 
Baba kupandishwa kwa bendera asibui nikumkabidhi raisi nchi iliyohuru nakushusha nikumkabidhi cdf/najeshi nchi tayari kwa ulinzi kiaina sijui sana
 
Hii ni bendera wakati tuko chini ya Wajerumani 1885-1919

Flag of Deutsch-Ostafrika (1885-1919)



Hii ni wakati tuko chini ya Mwingereza 1919-1961

Flag of Tanganyika (1919-1961)




Hii ni wakati tulipopata uhuru 1961-1964

Flag of the Republic of Tanganyika 1962–64




Hii ni bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania toka 1964-..........



Una maoni gani kuhusu bendera hizi je zinagusa au kuchangia sehemu yeyote ya maisha yako au unawezaishi bila hata kujua ama kutambua bendera yako ikoje kifupi hazisaidii

Kati ya mwaka 2006 na 2007 niliweka historia nzima ya bendera yetu hapa. Naona kama vile imepotea kabisa kwa vile nilipojaribu kuitafuta sikuiona; inawezekana modereta Invisible akatusaidia kuipata thread ile tena. Ila katika historia hii iliyowekwa hapa kuna mapungufu kadhaa ya kihistoria yanayotakiwa kukumbukwa kwani kabla ya ile bendera ya Tanganyika tunayoijua wengi leo hii kulikuwa na bendera nyingine iliyotumika ambyo thread hii haijaizungumzia.
 
Last edited by a moderator:
Maana yake ni kwamba sisi ni wategemezi juu ya ngozi nyeupee, ndio maana yake
 
Wala! Hazinigusi chochote, naona ni matambara tu yanayotungiwa maneno matamu masikioni mwa watu.
Nawashangaa wanaochoma moto bendera ati wana hasira na serikali zenye bendera hizo.
Damu inayogusa maisha ya mgonjwa siyo ile unayoiona kwenye chupa bali ni lile tone la damu linaloingia ndani ya mshipa wa damu. Je, umasikini wako unaondoka kwa kuiangalia bendera? Njaa hutoweka kwa aina ya rangi y abendera? Viini macho tu hivyo.
Unajiona umewazaa
 
Back
Top Bottom