Ntale Wi Isumbi
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 480
- 127
Mmm mbona tofauti kubwa sana, sio tu kwenye rangi nyeusi bali pia hicho kijani sasa kimefanana zaidi na kile cha ccm, wakati bendera ya zamani haiko hivyo. Haya ni makosa kweli ya mtengenezaji au kuna maagizo maalum kutoka lumumba???