vijiweni tunahabarishwa mengi. mara Ed. Lowassa na masai mara ni mmeru. wengine wanaenda mbali eti mchaga ndio maana anapigiwa debe kwa nguvu kubwa. pia wengine wanadiriki kumvusha nchi na kusema ni mkenya eti kwa sababu amewekeza sana huko. wanasema kampuni kubwa inayozalisha na kuagiza maua nchi za nje hususan uingereza ni mali yake. eti na kampuni kubwa inayotengeneza matairi na vipusa vya mpira ni yake. eti baba huyu tajiri balaa. ukweli ni upi?
vijiweni tunahabarishwa mengi. mara Ed. Lowassa na masai mara ni mmeru. wengine wanaenda mbali eti mchaga ndio maana anapigiwa debe kwa nguvu kubwa. pia wengine wanadiriki kumvusha nchi na kusema ni mkenya eti kwa sababu amewekeza sana huko. wanasema kampuni kubwa inayozalisha na kuagiza maua nchi za nje hususan uingereza ni mali yake. eti na kampuni kubwa inayotengeneza matairi na vipusa vya mpira ni yake. eti baba huyu tajiri balaa. ukweli ni upi?
vijiweni tunahabarishwa mengi. mara Ed. Lowassa na masai mara ni mmeru. wengine wanaenda mbali eti mchaga ndio maana anapigiwa debe kwa nguvu kubwa. pia wengine wanadiriki kumvusha nchi na kusema ni mkenya eti kwa sababu amewekeza sana huko. wanasema kampuni kubwa inayozalisha na kuagiza maua nchi za nje hususan uingereza ni mali yake. eti na kampuni kubwa inayotengeneza matairi na vipusa vya mpira ni yake. eti baba huyu tajiri balaa. ukweli ni upi?
Lowassa kawanunua wachagga.
Mchagga anauza hata mkewe kwa pesa wacha chama.
vijiweni tunahabarishwa mengi. mara Ed. Lowassa na masai mara ni mmeru. wengine wanaenda mbali eti mchaga ndio maana anapigiwa debe kwa nguvu kubwa. pia wengine wanadiriki kumvusha nchi na kusema ni mkenya eti kwa sababu amewekeza sana huko. wanasema kampuni kubwa inayozalisha na kuagiza maua nchi za nje hususan uingereza ni mali yake. eti na kampuni kubwa inayotengeneza matairi na vipusa vya mpira ni yake. eti baba huyu tajiri balaa. ukweli ni upi?
We mmama Hebu jiheshimu toka Lini wachaga wanauza wake zao.... Kuaga na akili hata mara moja moja...
Hilo mbona ni siriwazi.
Wanawake wanaua wanaume kwa mali.
Wanaume wanaacha wake zao huko uchagani miaka wao wapo kutafuta pesa, kama si kuwauza ni nini huko? Fikiri.