bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Jamani leo kwa wale wazalendo wa zamani ilikuwa siku maalum ijulikanayo kama Juni Kumi na Tano, yaani siku ya wanafunzi waliomaliza kidato cha sita na vyuo vya elimu kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa yaani JKT.
Kule kulikuwa ni sehemu muhimu sana ya kukuza uzalendo kwa vijana na kujifunza maisha mapya bila kujali kuwa babako ni kigogo au tajiri! Kwa wale waliofanikiwa kupitia JKT watukumbushe ni nini kikubwa sana anachokikumbuka alipokuwa depo la JKT kama Mgulani, Ruvu, Orjoro, Buhemba, Bulombola, Masange na kwingineko?
Na hasa siku ya kwanza baada ya kuripoti camp!
Kule kulikuwa ni sehemu muhimu sana ya kukuza uzalendo kwa vijana na kujifunza maisha mapya bila kujali kuwa babako ni kigogo au tajiri! Kwa wale waliofanikiwa kupitia JKT watukumbushe ni nini kikubwa sana anachokikumbuka alipokuwa depo la JKT kama Mgulani, Ruvu, Orjoro, Buhemba, Bulombola, Masange na kwingineko?
Na hasa siku ya kwanza baada ya kuripoti camp!